Narudi nikiwa unstoppable

Narudi nikiwa unstoppable

Sema nini, em elezea vizuri hapo kwa binti wa zamani basi 😹😹

Kama nawaona waliokupa mbususu saa hizi roho juu juu una mafile yao..!!

Kwenye ubuyu umenikosha umwage basi hizo ndo vitu zangu..!! 😹😹
No comment
 
I don't give a damn
Hizo tambo wapelekee washamba huko kijijini kwenu
Bwana mdogo hapa JF washamba kama wewe huwa tunawatroll na kuwafukuzia FB huku hatujali wewe ni mbuzi wa aina gani huku kila mtu mbabe,mjuaji. Yaani utamwambiani nini mwana Jf mshamba mmoja wewe.

Jf utapata nyumbu wako kadhaa wataokuwa wanakupa kichwa uzidi kujiona staa ila kusepa na kijiji hiyo sahau.Wewe nimekutolea mifano ya mbugira wenzako ambao wamepita kama kivuli.

Wewe humu akuna anayekujali wala kuzingatia upupu wako.Humu kama umenotice humu kila mtu chizi fresh.Jichanganye ulete userious uzidi kuchanganyikiwa!!!
 
Bwana mdogo hapa JF washamba kama wewe huwa tunawatroll na kuwafukuzia FB huku hatujali wewe ni mbuzi wa aina gani huku kila mtu mbabe,mjuaji. Yaani utamwambiani nini mwana Jf mshamba mmoja wewe.

Jf utapata nyumba wako kadhaa wataokuwa nakupa kichwa uzidi kujiona staa ila kusepa na kijiji hiyo sahau.Wewe nimekutolea mifano ya mbugira wenzako ambao wamepita kama kivuli.

Wewe humu akuna anayekujali wala kuzingatia upupu wako.Humu kama umenotice humu kila mtu fyatu.Jichanganye ulete userious uzidi kuchanganyikiwa!!!
Acha kuhangaika na magazeti
Kama haujawa triggered hata usinge andika kitu.
 
Uzuri wasukuma hawajawahi kutunza siri mkiongozwa na kaka yenu dudu baya a.k.a MAMBA 😹😹

IPO siku ukipiga cheupe utatufurahisha wambea..!!
Tatizo una mihemko mno...
Ndo maana people don't care about your bs

Haujui hata namna ya kubadilika kutokana na mazingira

Huwa unaingia na gia ile ile na vi emoji vyako vya paka
 
Tatizo una mihemko mno...
Ndo maana people don't care about your bs

Haujui hata namna ya kubadilika kutokana na mazingira

Huwa unaingia na gia ile ile na vi emoji vyako vya paka
Umejuaje people hawa take care kuhusu yeye?
 
Tatizo una mihemko mno...
Ndo maana people don't care about your bs

Haujui hata namna ya kubadilika kutokana na mazingira

Huwa unaingia na gia ile ile na vi emoji vyako vya paka
Mimi ndo nilivyo siwezi kubadilika kama wewe mjomba Kanye 😹😹😹

Halafu emoji ya paka inakukera kwani? 😹
 
D
Acha kuhangaika na magazeti
Kama haujawa triggered hata usinge andika kitu.
Dogo acha mihadarati ukitaka ustaa hamia insta huko kauze sura.

Hii mitandao ya Anonymity huwa kuna aina ya watu ambao mpaka wakufagilie lazima uwe very extra extra ORDINARY.Tofauti na hapo wewe ni chizi(mwanasesere) kama machizi wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom