Narudi nikiwa unstoppable

Narudi nikiwa unstoppable

Kmmk wallah
Kwa hiyo mimi ndo nimekuwa wa mfano? Yani kama past paper sio
117627.jpg

🫩🫩🫩🤒🤒🤒🤒
 
😆😆😆, sema uzuri mmoja naweka chitchat bwashee 🤣 wanaodisi ni magoigoi tu wasio jua dhima na jukwaa sahihi

Naqubali bwashee

Niliweka uzi chit chat kwamba nimeona ng'ombe juu ya bati wadau hawakutaka kunielewa kabisa 😁
 
Nitaenda na wewe hivi hadi ukae mkao wa kula, haiwezekani the entire sukumagang inaharibiwa taswira na mtoto mdogo namna hii.
Halafu humu jukwaani hakuna mzee, wala hatusalimiani shkamo! Hapa wote ni wakuu!!
I knew utakua wise enough kujua my tabia of kujitapa is mine na haina shida yoyote kwa member humu.

Haya mkuu, mimi kwa bahati mbaya sifanyi ligi na mtu yoyote tena.

I'm just being me. Kama kuna mtu anaumia it's their problem
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom