Narudi nikiwa unstoppable

Narudi nikiwa unstoppable

Au sio

Labda nikuulize, wewe unaweza kujianzishia uzi wa kufa? Mimi siwezi kwasababu hakuna kitu nafaidika kwenye ule uzi wala jukwaani

Sijaomba msaada wa kipesa kusema kwamba nataka hela zenu
Mimi sio mfanyabiashara humu kusema kwamba navuta attention ya watu ili wanifahamu nipate kuuza nachouza

Kuna pimbi mmoja Equation x nimeona comment yake leo ati anasema nataka kuua hii ID ili nifungue nyingine...which is pure bullshit
Huyu phaller Hance Mtanashati nimeshamzoea by default huwa anawashwa
😂😂😂😂😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom