Silent King
Senior Member
- Jul 17, 2026
- 149
- 333
Sawa unakuwa wewe lakini mbona unakuwa tofauti na mentors wako ambao unawasoma kwenye hivyo vitabu?That's what am doing bro.
Am not flexing am just being me
Je mentors wako wanafundisha kuwa na majigambo? Wanafundisha kujiona wewe ni bora kuliko wengine?
Wanafundisha kupata heshima au kutambulika Kwa lazima?
Listen dude, kuna msemo unasema "iache kazi yako ikutambulishe uwezo wako"
Mfanyakazi mzuri ataonekana kupitia kazi yake anayoifanya,watu wakiona kazi yake watasema he or she is best
Ila wewe mwenyewe ukianza kusema mimi ni mchapakazi wakati hukuna Matokeo,watu watakushangaa
Sasa chapisha machapisho ya kiplatnum halafu watu waseme wenyewe yes de Gunner anastahili kuwa kweli platinum member
Be humble,mwerevu,muelewa mwaisho wa siku heshima itakuja yenyewe, nakwambia haya as your brother nakutakia mema