Narudi CCM

hujaitwa unaitia je ukiitwa utafanya nini?
unabip ili ubembelezwe?cdm hakuna posho wala rushwa na njaa zako utafia huku bora urudi kwa mafisadi wenzako.
na kwa id yako inaonyesha una kaukoo na fisadi mmoja wa ccm mkazi wa dodoma.
 
Peleka ujinga wako ccm huko kwani umesikia jf ni kwa ajili ya cdm peke yao? Hapo nimeaamini kuwa umenunuliwa moderm na nape nauye uje upost upupu wako humu,peleka facebook huko utoto wako gamba lako kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,baki humu humu tulivue kinguvu
 
karibu ccm chama cha mwasisi wetu nyerere ucjali wote hao watarudi cku yao haijafika km ilivyo kuokoka.ccm ndo chama pekee ambacho kila mwanachama ana haki na uhuru wa kutoa maoni.na mafisadi wote tutawavua magamba.cdm ni wezi na maopportunist ndiyo maana hata burget yao haijaonesha elimu bure wenyewe wanajua kuandamana tu.karibu chama tawala ccm.
 
Ipi Dot Com! Yaani wewe ulijiunga JF kuja kueleza kuwa unarudi CCM? Kwani ulipojiunga JF ulituambia unatokea siyasa (chama) gani ili uwe-accepted kama member wa JF. Endapo umeingia JF mwezi March, na kipindi cha miezi miwili tu unakuja na hoja hii (sina hakika kama umewahikuanzisha thread nyingine zaidi ya hii), then hoja yako hii haina mshiko kwenye hadhira hii
 
Jamani mpaka sasa sijaona tofauti ya cdm zaidi ya ujinga tu na sera zisizo na tija najuta kuwapa kura yangu NARUDI CCM KUANZIA LEO
Mimi toka waanze kugusa mambo ya posho sina hamu nao, hawa jamaa ni hatari hawafai, wee fikiria wanapinga posho kwa wafanyakazi wa umma halafu hawaishinikizi serikali iongeze mshahara sasa mambo gani haya!! afadhali zimwi likujualo..........
 
Kumbe tatizo la uelewa hapa

Kawaida ukipata mshahara mnono, ina maana unalipa kodi (payee). Hili ni suala lingine, ambalo siku moja nitakuja kulifanyia uchambuzi kuhusu umuhimu wake na missed opportunity kwa tanzanai. Ila muhimu kwako kama mfanyakaiz, kiasi cha mshahara kita-determine kiwango cha social security contribution yako. Kwa kawaida sheria ni 10% mwajiri na 10% mwajilriwa! Hivyo, kumbe mshahara ukiongezeka kuna double advantage. Unalipa kodi - assumption kuwa huduma zitakuwa bora, lakini zaidi ya hapo unawekeza akiba ya uzeeni kwa hiyo social security fund. Sasa sijui kwa nini wewe unaona ubaya wa kuondoa posho na kuongeza mshahara? Ufahamu kwa kawaida posho za jinsi hii hazilipiwi kodi hiyo kupoteza fursa muhimu kamahii ya kuonesha uzalendo wako kwa kulipa kodi!
Mimi toka waanze kugusa mambo ya posho sina hamu nao, hawa jamaa ni hatari hawafai, wee fikiria wanapinga posho kwa wafanyakazi wa umma halafu hawaishinikizi serikali iongeze mshahara sasa mambo gani haya!! afadhali zimwi likujualo..........
 
Ipi Dot Com! Yaani wewe ulijiunga JF kuja kueleza kuwa unarudi CCM? Kwani ulipojiunga JF ulituambia unatokea siyasa (chama) gani ili uwe-accepted kama member wa JF. Endapo umeingia JF mwezi March, na kipindi cha miezi miwili tu unakuja na hoja hii (sina hakika kama umewahikuanzisha thread nyingine zaidi ya hii), then hoja yako hii haina mshiko kwenye hadhira hii
mbona wanaoponda ccm huwasemi? Hapa jf kwangu ni mahali muafaka wa kutoa hisia zangu
 
Hamna haja ya kuutangazia umma kwamba natoka chama hiki naenda hiki,kwasababu hii na hii. Una uhuru kwa mawazo yako kuhamia chama chochote unachokipenda ila siyo lazima uujulishe umma hasa humu JF..
 
Lakini hujafahamu kuwa ni Wabunge 3 waliotofautiana kuhusu hilo. Sasa jiulize wabunge 3 kati ya 45 unawezaje kusema wamegombana? Nahisi kuhoji kiwango cha uelewa wako!
Jana wamegombana kuhusu posho hawana msimamo bado tunaona cdm ni bora?NAHAMA JAMANI
 
Back
Top Bottom