Narudi CCM

# wajanja wote ni kufanya shughuli binafisi ukisubilia kila kitu ifanye Serikali utaramba chuma cha Reli......!!#

Hongera kwa kulitambua hilo mpendwa
Kumbe na wewe ni Ngosha team eeeh.:):)
Go @Magufuli go, ulipo tupo.
 
Kuna kamsemo ka kizungu huwa wanasema "if you can't fight them join them....!! Hapa ujanja ni kuwa mahala pa uhakika kukomaa na Upinzani ni kupoteza mda na future wajanja wote ni kufanya shughuli binafisi ukisubilia kila kitu ifanye Serikali utaramba chuma cha Reli......!! Zinduka kijana acha Unyumbu na Ujuha siku hazigandi.......
Kweli mkuu kakomae na buku 7
 
Unadhani ni rahisi kuwa upinzani bila shughuli ya kufanya wote waliokuwa upinzani wana shughuli zoa ndio maana wanaweza kupambana nao wewe unayetafuta vyeo rudi ingekuwa umesema unaachana Na siasa kweli ningekuona una point
 
Nina mpango wa kurudi CCM ili kwenda kuwahi urithi maana sasa CCM inakata roho, kwa mtu anaejua "stages of death" atakubali sasa kuwa CCM wapo kwenye "denial stage" yaani kujikataa/kujikana!!! kwa hio msishangae wanavyomkataa SIX, baada ya hapo mwisho itakua "Acceptance stage" yaani watakubali kwamba sasa muda wao umekwisha na ndipo wataingiza nchi ktk machafuko, turudini tukawahi MAJENGO na mashangingi kisha tuyauze na kununua ambulance badala ya BAJAJ!! nawakilisha

Mwishowe CCM itakumbwa na yaliyowapata KANU (Kenya) na UNIP (Zambia).

Kimsingi hiyo safari ilianza kitambo lakini kufikia hiyo tamati kunategemea sana siasa, weledi na fikra sahihi za wapinzani. Kwa mwendo wa kubadili gia angani, CCM itaendelea kuvuta Oxygen kwa muda mrefu.
 
Duh thread yangu hii ya Nov.2010 kweli maandishi yanaishi aiseeee
 
Nina mpango wa kurudi CCM ili kwenda kuwahi urithi maana sasa CCM inakata roho, kwa mtu anaejua "stages of death" atakubali sasa kuwa CCM wapo kwenye "denial stage" yaani kujikataa/kujikana!!! kwa hio msishangae wanavyomkataa SIX, baada ya hapo mwisho itakua "Acceptance stage" yaani watakubali kwamba sasa muda wao umekwisha na ndipo wataingiza nchi ktk machafuko, turudini tukawahi MAJENGO na mashangingi kisha tuyauze na kununua ambulance badala ya BAJAJ!! nawakilisha
Mkuu mimi unigawie mashati ya kijani tu niweninatinga nayo mitaani.
 
Back
Top Bottom