Ipi dot com
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 301
- 113
umaarufu wa nini? Kwani kosa kutoa hisia zangu?Unatafuta umaarufu?
umaarufu wa nini? Kwani kosa kutoa hisia zangu?Unatafuta umaarufu?
ni chama pekee hakina umimi kama cdmHukuja na tarumbeta unaondoka na vuvuzela, umekuta watu wanafikirisha vichwa na kwa kuwa unafikirisha tumbo umeona bora uende kwa wenzako, nenda kashibe leo kesho ulale na njaa
kwani ma great thinker wapo cdm pekee ccm hakuna?acha dharau
Taja angalau mmoja!kwani ma great thinker wapo cdm pekee ccm hakuna?acha dharau
nimegundua cdm ni copy and pasteSi urudi we kenge umeshindwa hoja umegundua kichwani kwako ni makamasi tu,toka faster usituambukize uvivu wenu huku ni Great thinker sio mipasho yenu.
hii nayo ni hisia upuuzi.....! mi naona unaumwa wewe..!umaarufu wa nini? Kwani kosa kutoa hisia zangu?
frank,unadhani cdm wataleta mabadiriko gani?Umetumwa uje ili uhamasishe uhamishe maGreat thinkers,you are finished pole sana chadema ndio mpango mzima kama tnataka mabadiliko.
Kama kisema ukweli ni sifa basi, basi nenda CUF kabisa huko ndiyo siku hizo hawapendi sifa kabisa.kumbe cdm ni ovyo kabisaa...sijaona la maana bungeni zaidi ya sifa za kijinga
unadhani cdm italeta mpya gani zaidi ya chachawangwelized au hujuiUmetumwa uje ili uhamasishe uhamishe maGreat thinkers,you are finished pole sana chadema ndio mpango mzima kama tnataka mabadiliko.
Jamani mpaka sasa sijaona tofauti ya cdm zaidi ya ujinga tu na sera zisizo na tija najuta kuwapa kura yangu NARUDI CCM KUANZIA LEO
matatizo hayo yapo mpaka usa,binafsi nimeyaona south afrika mnakosema wako juu,NARUDI CCMkabla ya kurudi CCM tembelea zahanati za kigoma na tabora kisha ukaangilie ofisi za ATC,kisha mashamba ya katani segera tanga,kisha iangalie reli na treni ya kutoka tanga,arusha mpaka dar.kaangalie hali za wananchi wanaozunguka migodi ya barick halafu linganisha na watawala wanapokutana dodoma