Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,219
- 6,080
Pole Dada yangu,M.Mungu akujaalie hitaji la moyo wako nakuombea upate umpendae!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
bro Da'VinciChukulia maneno ya binadamu positively. Wakikuuliza unaolewa lini usitfsiri unasimangwa ila wanakupenda wanataka wakuone kwenye ndoa yenye furaha.
Hilo la kutokujihusisha na mapenzi anza kuanzia leo. Jifunze kwenye mitandao ingia huku MMU hata kwa ID ngeni flirt na watu, taniana, ukiwa na time tengeneza fake relationship za humu ucheke...
Nakuambia Itakusaidia. Umri wako sio wa kulalamikia hili. Una muda wa kujipanga na kupata mme wa ndoto zako.
Imefanyiwa remix au ?Hii post hii post!!
haki ya Mungu ni mecheka. Si kwa hili jibu lako. Kwa hiyo hii bikira ina nifanya nakosa maamuzi mazuri. 😅😅Mtu yupo 32 unasema aendelee kutulia? Mungu hatoi wenza ila hukupa akili ya kumpata mwenza unaemtaka sasa Anza kutembelea sehemu zenye vijana unaowataka kama vyuoni, kwenye makambi ya ibada, kwenye viwanja vya soka, disco, semina za neno la Mungu nk.. Kisha jirahisishe Jifunze kutongoza mwanaume, jiongezee mvuto kisha tambua unachotaka hasa kisha kitafute kwa mbinu zote, hiyo bikra ikishakutoka ndo akili yako itafanya kazi zaidi. Ukiwa na hiyo bikra Kuna sehemu ya ubongo haifanyi kazi vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam kiongozi
Kumbe u mshauri mzuri, mi mbona hunishaurigi lakini?Asipokuelewa hapa basi, hasa hiyo namba 4 na 6.
Maandiko yanasema " Mungu hujibu kwa wakati wake (sio wako).
Waswahili wanasema "Ukiona kiza totoro ujue ndo kumekaribia kukucha".
Hakika umemshauri vyema.
Sent using Jamii Forums mobile app

Ni huku bongo tu wenzetu walioendelea hawawazi umri najua unasema kwetu wanawake but it doesn't care ka unaji stress kisa umri you won't enjoy this lifeSijamaanisha hivyo ila napinga alivysema maisha yana anzia 40 siamini kwa upande wenu
😅😅😅 ila munachekesha saa ingine eti.Ukikosa vyoote hata wa kukupa mtoto, ukifikia hatua ya nani akutoe bikra yako... Tafadhali nishirikishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kwa ajili ya watu usisumbuke mana hutongozi bali unatongozwa wakikusema waambie wakuletee mume upo tayarNashukuru kwa ushauri kaka angu. Wanadamu wanaweza kukupa jakamoyo. Na wazazi wangu japo hawajawahi niuliza direct lakini wanavyozungumuza mimi ni mtu mzima nawaelewa. Inafika sehemu nashidwa kabia. Na tatizo kubwa nililonalo ni kutojihusisha na mapenzi directly kitu ambacho wanaume wengi nashidwana nao hapo.
Wanampa moyo et umri bado.Umri wako unaenda hapo utaishia kupata hao hao waume za watu na mwisho utafanyiwa kitu mbaya na wenye waume zao,na ukipata mwanaume asiye na mke atakuja kukupiga pesa na kusepa so take care utashangaa unazeeka tu kwa maelezo zaidi njoo PM
hapo kwenye nyekundu me nipo tayari naomba uwe mshenga wangu kwa huyu mrembo mkuuChukulia maneno ya binadamu positively. Wakikuuliza unaolewa lini usitfsiri unasimangwa ila wanakupenda wanataka wakuone kwenye ndoa yenye furaha.
Hilo la kutokujihusisha na mapenzi anza kuanzia leo. Jifunze kwenye mitandao ingia huku MMU hata kwa ID ngeni flirt na watu, taniana, ukiwa na time tengeneza fake relationship za humu ucheke...
Nakuambia Itakusaidia. Umri wako sio wa kulalamikia hili. Una muda wa kujipanga na kupata mme wa ndoto zako.
Si kila muda unapoenda chumba cha faragha kuongea na Mungu wako lazima uombe dada. Kuna muda unahitaji kumsifu,kumwabudu Mungu na kumshukuru! Maana Mungu sio kwamba haoni unayoyapitia, anaona ila pengine muda wake bado na wakati wako haujafika! Na kikubwa omba mapenzi yake yatimizwe sio yako!!N
Nashukuru ndugu. Niombee mpendwa maana huwa inafikia mpaka akosa cha kuomba wakati wa kusali.
Rafiki weka akiba ya maneno!Wanampa moyo et umri bado.
yani aende leba na 40 siamini akisemacho huyo ni mchaguzi kama wachaguzi wengine ngoja Mungu amuonyeshe kua yeye hakosei
Dad yangu biblia ni kitabu kigumu sana sio cha kutafsiri kirahisi kwa kusoma mstari mmoja au miwili.Nashukuru kwa mistari uliyonipa nimeipitia hapa na nitazidi kuisoma pake niombapo.asante sana.