GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,109
Kwanini GENTAMYCINE nataka iendelee kuwepo na tena kama Watekelezaji wakiwa hawapo Mimi nipo tayari Kuwasaidia.
1. Adhabu ya Kifo inaokoa Gharama za Walipa Kodi katika Kuwatunza
2. Adhabu ya Kifo inasaidia Kuokoa muda kwa Watendaji wa Magereza Kuwatunza Wahalifu Wanaotaka a Kunyongwa
3. Adhabu ya Kifo inasaidia katika Kurekebisha tabia za Wahalifu walioko
4. Adhabu ya Kifo ni Fursa ya Kiajira kwa Watu wasiokuwa Waoga wa Kuwanyonga Wahalifu kwa nchi nzima
5. Adhabu ya Kifo itasaidia kuibua Ubunifu mpya wa Kuwanyonga Wahalifu kwa Style mbalimbali
6. Adhabu ya Kifo Kiuchumi itakuwa na Faida kwani inaweza Kusaidia Wanyongaji wakapata Tenda nyingi za Unyongaji nje ya nchi na Tanzania ikaingiza Fedha za Kigeni kutokana na Utaalam wao
7. Adhabu ya Kifo itasaidia Kuwapunguza Wahalifu Wapumbavu ambao ni Chukizo na Hatari kwa Taifa letu
GENTAMYCINE nataka Adhabu ya Kifo iwepo na ikiwezekana nipewe Ukuu wa Kitengo hicho ili niwanyooshe Wapuuzi Wahalifu Sugu nchini.
1. Adhabu ya Kifo inaokoa Gharama za Walipa Kodi katika Kuwatunza
2. Adhabu ya Kifo inasaidia Kuokoa muda kwa Watendaji wa Magereza Kuwatunza Wahalifu Wanaotaka a Kunyongwa
3. Adhabu ya Kifo inasaidia katika Kurekebisha tabia za Wahalifu walioko
4. Adhabu ya Kifo ni Fursa ya Kiajira kwa Watu wasiokuwa Waoga wa Kuwanyonga Wahalifu kwa nchi nzima
5. Adhabu ya Kifo itasaidia kuibua Ubunifu mpya wa Kuwanyonga Wahalifu kwa Style mbalimbali
6. Adhabu ya Kifo Kiuchumi itakuwa na Faida kwani inaweza Kusaidia Wanyongaji wakapata Tenda nyingi za Unyongaji nje ya nchi na Tanzania ikaingiza Fedha za Kigeni kutokana na Utaalam wao
7. Adhabu ya Kifo itasaidia Kuwapunguza Wahalifu Wapumbavu ambao ni Chukizo na Hatari kwa Taifa letu
GENTAMYCINE nataka Adhabu ya Kifo iwepo na ikiwezekana nipewe Ukuu wa Kitengo hicho ili niwanyooshe Wapuuzi Wahalifu Sugu nchini.