bulama
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 568
- 138
Kwa hiyo ume support hoja, ya kwamba Lema ni sawa na hao kina wasira walilala na kulipwa, kwa haki wote wasilipwe
HONEST IS A BEST POLICY IN MY HEAD
Mimi nilitaka wewe uone kitu cha kuandikia na wala si suala la Lema. Kwani lema alijitoa mwenyewe bungeni? mimi nahisi ulitakiwa kuwasemea akina wasila, komba n wenzao na si huyu kijana ambaye fitina za CCM zilimsimamisha. Nionavyo mimi Ccm inatakiwa kuripa hata wananchi wa arusha kwa kuwanyima uwakirish kwa muda mrefu.