Napinga sehemu ya malipo ya Lema...

Napinga sehemu ya malipo ya Lema...

Kwa hiyo ume support hoja, ya kwamba Lema ni sawa na hao kina wasira walilala na kulipwa, kwa haki wote wasilipwe
HONEST IS A BEST POLICY IN MY HEAD

Mimi nilitaka wewe uone kitu cha kuandikia na wala si suala la Lema. Kwani lema alijitoa mwenyewe bungeni? mimi nahisi ulitakiwa kuwasemea akina wasila, komba n wenzao na si huyu kijana ambaye fitina za CCM zilimsimamisha. Nionavyo mimi Ccm inatakiwa kuripa hata wananchi wa arusha kwa kuwanyima uwakirish kwa muda mrefu.
 
Kwanza salamu, pia niwatakie heri ya Christmas na mwaka mpya.

Hoja ya msingi ni
MALIPO YA LEMA YANAONYESHA UDHAIFU WA MFUMO WETU.

Lema atalipwa milion 85 Tsh/= kama malimbikizo kwa kusimamishwa baada ya kusimamishwa ubunge,
( kwa mchanganuo zaidi soma hapa
Lema kuzoa Sh85 Milioni - Siasa - mwananchi.co.tz )
kama mwananchi nina tatizo na Lema kulipwa hiyo pesa, sioni Value for money kwa sisi kuwa na mfumo dhaifu kiasi hicho.

Tatizo nililonalo Lema kulipwa hiyo pesa ni maeneo yafuatayo:

1.) Milion 20 za mafuta kama Mbunge, Lema aliposimamishwa ubunge shughuli zake zilikoma, hivyo matumizi ya mafuta kwa shughuli za kibunge yalikoma pia!!! kwangu mimi kumlipa Mbunge Milion 20 za mafuta bila kuwa kazini au kufanya kazi ni kudhurumu wananchi, huu ni mfumo onevu, hiyo pesa haipashwi kulipwa,
kwa maelezo zaidi ni kwamba Lema atarudishiwa ghalama za kesi, ni ghalama zipi hizo? hakuna nauli alizokuwa anatumia? na kama ndio balance ipo itakuwaje tukimlipa tena kama umma pesa ya mafuta?
lakini Je Lema kwa wakati huo alikuwa anafanya shughuli zipi? sio M4C ( i embrace M4C but TAIFA kwanza) huko akulipwa chochote?

2.) posho ya jimbo Sh40 milioni ....... jimbo lipi hali kazi ilisimamishwa? jimbo la Arusha alikuwa na mbunge kwa wakati wote wa kesi? lema akufanya shughuli za kibunge jimboni mwake.
Lakini pia kwa kwenda mbali ni kwamba Lema alikuwa na shughuli maalumu ya chama yaani M4C ( no problems) lakini je hapa kuna tofauti gani na wale wafanyakazi hewa? mtu ayupo kwenye kituo cha kazi analipwa tu? hivi sisi tunalipa majina au shughuli/kazi ya mtu? where is the value for my TAX?

3.) Posho nyingine Sh6.6 milioni Kwa kazi ipi analipwa posho? ubunge ulikoma nimeshaeleza hapo juu, ofisi ya mbunge haikuwa na kazi tena kwa kukosa mbunge, na kama ilikuwepo na ina fanya kazi vipi amri ya mahakama kusimamisha ubunge wa Lema, kwa misingi hiyo nina amini hakukuwa na shughuli ya sisi kama taifa kulipa posho.

<<<<<<
Nakubaliana kwamba Lema alipwe malimbikizo ya mshahara wake yanafikia Sh18.4 milion, hii ni haki pekee kwa Lema, sikupaliana kwamba kama mtu umesimamishwa wazifa wako basi umma uendelee kukulipa pesa bila kuutumikia.

CHOMBEZO


HITIMISHO:
Hoja yangu ni tuwe na kanuni zenye macho, zinazothamini kodi yetu, malipo lazima yenye thamani ya kazi, malipo holela ni hatari kwa taifa, napinda haya malipo regardless nani anapewa, msingi ni kuwa na taifa imala lenye uchumi unaonufaisha wote.

Kama kuna sheria zinatoa mwanya huu zifutwe mara moja ili kuongeza thamani ya pesa yetu katika matumizi (VALUE FOR MONEY)

NUKUU


[/FONT]
[/COLOR]
Wewe ni mpuuzi tu unashindwa kujua huo ni utaratibu walio uweka wabunge wa magamba.
 
Wewe ni mpuuzi tu unashindwa kujua huo ni utaratibu walio uweka wabunge wa magamba.

Kwa hiyo bunge la sasa liko imara? Mbona kuna Kauli wabunge 50 wa CCM ni sawa na mbunge 1 CDM , au tu nakubaliana na CCM sehemu wanazotupatia mkate
 
Mimi nilitaka wewe uone kitu cha kuandikia na wala si suala la Lema. Kwani lema alijitoa mwenyewe bungeni? mimi nahisi ulitakiwa kuwasemea akina wasila, komba n wenzao na si huyu kijana ambaye fitina za CCM zilimsimamisha. Nionavyo mimi Ccm inatakiwa kuripa hata wananchi wa arusha kwa kuwanyima uwakirish kwa muda mrefu.

Narudi POSHO za mafuta sio HAKI yake, akuwa mbunge tunashindwa kuelewa wapi?
 
Hope Prof Shivji atoitwa gamba kwa yeye kusema ukweli kwenye ili saga pia
Profesa Shivji kwa upande wake alieleza kushangazwa na maelezo ya Mahakama ya Rufani kuwa mpiga kura hana haki ya kufungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi na kusema hiyo ni sawa na kutunga sheria mpya na si kutafsiri zilizopo http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1652818/-/11qf148/-/index.html

Kumekuwa na Tabia ya kifanya kila kitu siasa, sijui tunaelekea wapi
 
Kwanza salamu, pia niwatakie heri ya Christmas na mwaka mpya.

Hoja ya msingi ni
MALIPO YA LEMA YANAONYESHA UDHAIFU WA MFUMO WETU.

Lema atalipwa milion 85 Tsh/= kama malimbikizo kwa kusimamishwa baada ya kusimamishwa ubunge,
( kwa mchanganuo zaidi soma hapa
Lema kuzoa Sh85 Milioni - Siasa - mwananchi.co.tz )
kama mwananchi nina tatizo na Lema kulipwa hiyo pesa, sioni Value for money kwa sisi kuwa na mfumo dhaifu kiasi hicho.

Tatizo nililonalo Lema kulipwa hiyo pesa ni maeneo yafuatayo:

1.) Milion 20 za mafuta kama Mbunge, Lema aliposimamishwa ubunge shughuli zake zilikoma, hivyo matumizi ya mafuta kwa shughuli za kibunge yalikoma pia!!! kwangu mimi kumlipa Mbunge Milion 20 za mafuta bila kuwa kazini au kufanya kazi ni kudhurumu wananchi, huu ni mfumo onevu, hiyo pesa haipashwi kulipwa,
kwa maelezo zaidi ni kwamba Lema atarudishiwa ghalama za kesi, ni ghalama zipi hizo? hakuna nauli alizokuwa anatumia? na kama ndio balance ipo itakuwaje tukimlipa tena kama umma pesa ya mafuta?
lakini Je Lema kwa wakati huo alikuwa anafanya shughuli zipi? sio M4C ( i embrace M4C but TAIFA kwanza) huko akulipwa chochote?

2.) posho ya jimbo Sh40 milioni ....... jimbo lipi hali kazi ilisimamishwa? jimbo la Arusha alikuwa na mbunge kwa wakati wote wa kesi? lema akufanya shughuli za kibunge jimboni mwake.
Lakini pia kwa kwenda mbali ni kwamba Lema alikuwa na shughuli maalumu ya chama yaani M4C ( no problems) lakini je hapa kuna tofauti gani na wale wafanyakazi hewa? mtu ayupo kwenye kituo cha kazi analipwa tu? hivi sisi tunalipa majina au shughuli/kazi ya mtu? where is the value for my TAX?

3.) Posho nyingine Sh6.6 milioni Kwa kazi ipi analipwa posho? ubunge ulikoma nimeshaeleza hapo juu, ofisi ya mbunge haikuwa na kazi tena kwa kukosa mbunge, na kama ilikuwepo na ina fanya kazi vipi amri ya mahakama kusimamisha ubunge wa Lema, kwa misingi hiyo nina amini hakukuwa na shughuli ya sisi kama taifa kulipa posho.

<<<<<<
Nakubaliana kwamba Lema alipwe malimbikizo ya mshahara wake yanafikia Sh18.4 milion, hii ni haki pekee kwa Lema, sikupaliana kwamba kama mtu umesimamishwa wazifa wako basi umma uendelee kukulipa pesa bila kuutumikia.

CHOMBEZO


HITIMISHO:
Hoja yangu ni tuwe na kanuni zenye macho, zinazothamini kodi yetu, malipo lazima yenye thamani ya kazi, malipo holela ni hatari kwa taifa, napinda haya malipo regardless nani anapewa, msingi ni kuwa na taifa imala lenye uchumi unaonufaisha wote.

Kama kuna sheria zinatoa mwanya huu zifutwe mara moja ili kuongeza thamani ya pesa yetu katika matumizi (VALUE FOR MONEY)

NUKUU


[/FONT]
[/COLOR]

neno posho zotte ni halali
Posho za mafuta, ni muhimu mno ili azungukie kote ambapo hakwenda jimboni kwake wakati kasimamishwa

2. Posho za jimbo ni muhimu alipwe afanye kazi mara mbili zaidi afidie kipindi aliposimamishwa
 
hoja ya vikwazo ni nzuri,inabidi tujadili mambo kwa kina,bila kutia vikorobwezo vya ushabiki.
 
Alikuwa ni mwalimu wa somo la uraia nchi nzima hii kazi ni kubwa kuliko hata ya jimbo
 
Alikuwa ni mwalimu wa somo la uraia nchi nzima hii kazi ni kubwa kuliko hata ya jimbo
tunajenga nchi vipi kwa kugeuza matumizi ya pesa kutoka kwenye mipango halali? lini tutaisimamia hii nchi
 
Back
Top Bottom