Napinga sehemu ya malipo ya Lema...

Napinga sehemu ya malipo ya Lema...

Wewe umeona kwa Lema? Hao wanaoumwa mwaka mzima mbona wanalipwa? Wabunge wangapi huwa hawaonekani Bungeni na wanalipwa? Muhimu ni kuwauliza waliotunga sheria na si kumuuliza Lema, Make Magamba hamfikilii kabla ya kuongea, Unaleta Mambo ya Nepi na Kadi wakati yeye Anamiliki ya CCJ.......

Mkuu upo sahihi, marehemu Sumari (RIP) anakuw mbunge mpk anafariki wala kuapishwa hakuwah coz alikuwa mgonjwa,wala bungeni hata siku moja hakuwah kuingia, hata kampen alikuw anafanyiwa lakini hiyo keki alikuwa anaipata na hatukuona humu magamba wakinena lolote!
Tukiwaambia katiba na sheria mpya mnaleta porojo, mwisho wenu magamba utafika tu, c mmeshaanza kuona mautumbo yenu
 
Ana haki ya kulipwa sababu mwenye kosa la kumsimamisha ubunge ni Serikali kwa kupitia majaji wake wasioweza kutenda haki.Isingekuwa Serikali kuingilia shughuli za mahakama haya yasingekuwepo.Ilaumiwe serikali kwa msimamisha kazi mbunge aliyechaguliwa na watu sababu tu ya ubinafsi.Ila Lema ana haki zote za kulipwa,hakujisimamisha ubunge.
 
POST YAKO INGETAKIWA KUWA KAMA MFUMO WA SWALI! usaidiwe kuelimishwa.
Kama tatizo ni sheria mbovu, unapingaje lema kulipwa?
 
Pinga kwa nguvu hiyo hiyo fidia ya Dowans bilioni 120.
 
Wivu mwingine bana....inabidi achukue fedha tote ili awatendee haki wale wote ambao haki zao zilikuwa zimecheleweshwa. Inabidi atumie mafuta kwa mfululizo bila likizo ili ajenge imani upya na watu wake ikiwa ni pamoja na kulinda kura zake kwa kutimiza ahadi alizowaahidi watu......aaaghhhh
 
Stahiki za lema zilikuwepo kwenye bajeti kwa mwaka mzima kabla ya kusimamishiwa ubunge,baada ya ubunge kusimamishwa stahiki nazo zilisimama palepale,ubunge wake umeruhusiwa hvyohvyo stahiki zake zimeruhusiwa na zimeanzia palepale zilposïmamishwa.
 
Lile tunaloliamini ndani ya nafsi zetu halina budi liwe muongozo wa maisha yetu ya kila siku. tatizo si Lema bali system mbovu. ila unapokubali kupokea wakati unajua hii si sahihi, inakaaje hiyo? Tuache ushabiki kwani ni upofu. point za kwamba ccm wanafanya kama hayo haitakiwi kutumika ili kuhalalisha yetu. makosa mawili si ki kigezo cha kufanya tuwe sahihi, bali tuangalie lililo sahihi kwa nchi na wananchi.

leo CDM ina wafuasi ambao tunaiona kama malaika basi hizi ni fursa za kujenga reputation

Mh. Lema itakuwa ni busara zaidi kuikataa baadhi ya ile ambayo haistahili. otherwise ni sawa na ile "Nguruwe sili ila mchuzi tu nakunywa"
 
Hiyo ni sheria ya kazi kwa ngazi zote tu. Kama alikuwa hayuko kazini tokana na maamuzi ya mahakama, na kisha mahakama ikatengua maamuzi ya awali anapaswa kulipwa pesa iliyokuwa halali yake kama mshahara.

Hii ni haki yake. period

kama hiyo ni sheri ya kazi na hata hili nalo LEMA halipwi kama hisani,ni sheria ya kazi ndiyo inayompa nafasi ya kulipwa hayo masalio.
Kama walivyosema wachangiaji wengine,sheria haipo inayoeleza mbunge aende jimboni kwa mwezi mara ngapi?kwa siku mara ngapi?kwa wiki mara ngapi?kwa mwezi mara ngapi?wa mwaka mara ngapi?
Ishu ni kupitia upya sheria zetu kwa ujumla na siyo kuanza kumnyoshea kidole mtu mmoja mmoja.
 
VIKWAZO

KWA HILI HUJAFUNGUKA VIZURI na kama ndo mtazamo wako sahihi hapa umeenda mbali na uhalisia ulivyo,kwani bwana lema sio kama alipenda kuacha kazi ya bunge nakufanya kazi za chama tu,baali ni ufuska wa watu wachache kwa mawazo yao pasipo kuona ukweli wa jambo.

Hawa bwana walijua jimbo wameshindwa kwa uhalali na kuamua kwenda mahakamani na baada yawatu ambao ni majembe katika maamuzi kugundua hilo ndipo wakashini9kiza mahakama kupindisha ule ukweli.hivyo basi mungu hapokei rushwa kesi ndo kama ulivyooona mwisho wake.

So lazima wakubali kwa hasala na faida zote za matapishi yao,ambapo ni shida kwa taifa na baado haijengi kwa wana arusha kwani lema hakufanya vitu vya msingi kwa wana arusha tangu kuondolewa kwenye uongozi wa jimbo.so usilaumu anaekimbia bali laumu anaye mfukuza.
Nimeshasema alipwe mshahara posho za mafuta hapana maana kazi ilisimamisha sasa analipwa mafuta ya kwenda wapi na kazi ilisimamishwa? napinga posho za bure bure kwa mtu yeyote, CHADEM msimamo wao juu ya malipo ya ovyoo kama haya huko wazi, regea wabunge wa chadema kukataa posho
 
kama hiyo ni sheri ya kazi na hata hili nalo LEMA halipwi kama hisani,ni sheria ya kazi ndiyo inayompa nafasi ya kulipwa hayo masalio.
Kama walivyosema wachangiaji wengine,sheria haipo inayoeleza mbunge aende jimboni kwa mwezi mara ngapi?kwa siku mara ngapi?kwa wiki mara ngapi?kwa mwezi mara ngapi?wa mwaka mara ngapi?
Ishu ni kupitia upya sheria zetu kwa ujumla na siyo kuanza kumnyoshea kidole mtu mmoja mmoja.

Kwa hiyo kama nikiwa bosi sehemu nikasimamishwa kazi, wakatia nikiwa kazini nilikuwa na allowance ya mafuta, nikirudi napewa na mafuta ya siku zote ambazo nilikuwa nimesimamishwa?
Wabunge wanalipwa hela ya mafuta lakini hiyo inaweza kubadilika na wabunge wakapewa mafuta na sio pesa, je ingekuwa hivyo ina maana leo LEMA angekwenda shell na kuchota mafuta ya milioni 20?
 
aiseeeeeeeeee babayangu kwanini usiende kupinga malipo ya dowans kwanza
 
POST YAKO INGETAKIWA KUWA KAMA MFUMO WA SWALI! usaidiwe kuelimishwa.
Kama tatizo ni sheria mbovu, unapingaje lema kulipwa?

Ujasoma post yangu vizuri, lakini kuna tatizo gani kama tukianza kuwa na sheria nzuri kuanzia hapa kwa lema, ina maana kuna watu wakiwa kwenye position furani inabidi tufumbe macho kwanza? vipi haya madai kwamba vijana ni taifa la leo? sisi ni darubini, ili nimeona sio sahihi regardless.
Kama unanishawishi kusema kwamba tusi hoja uovo kwa sababu mnufaika ni lema, Then mwingeni atakujana na kusema M4C isubiri mpaka JK atakapotoka madarakani? kwa nini tuwe na movement for change wakati ni sheria mbovu na katiba iko kwenye mchakato wa kubadilishwa?
Hoja hapa ni kwamba kama kuna issue mbovu tunaongea na inarekebishwa
 
Kama anaelipwa ni CHADEMA SI HAKI HII ILITUNGWA NA CCM KUWALIPA CCM.
 
aiseeeeeeeeee babayangu kwanini usiende kupinga malipo ya dowans kwanza

Kwa malipo ya DOWANS hayakupigwa? mbona tunatumia ugongo wa samaki? haya malipo yamepingwa kila kona, na kesi zipo mahakamani, so Lema ni aina nyingine ya dowans? if so ndio maana napinga
 
Kama anaelipwa ni CHADEMA SI HAKI HII ILITUNGWA NA CCM KUWALIPA CCM.

Hapana vyama baadaye nchi kwanza, mimi napinda kama mwananchi siitaji msukumo wa kichama, vyovyote vile haya malipo sio sahihi uwezi kuyatetea
 
Kuna mantiki katika hoja yako mkuu!!!!
Asante sana kiongozi, sisi vijana ndio tunaweza kuliweka ili taifa sawa, hawa tukihachana na huu mchazo kwamba tuna wanasiasa hatuwagosi, sisi tunatakiwa kuwa kama waamuzi tunasimama kwenye haki kwa manufaa ya nchi, lakini leo tunasimama kichama na kisiasa,
Hata hivyo hoja yangu bado inawa favour sana chadema kisiasa maana wao hakuweka huo mfumo wa malipo haya ya ovyoo, kwanza kutetea haya madudu ni sawa na kusema CCM OYEEEE
 
Bado nataka unijuze uhalali wa kulipwa mshahara ambao hajaufanyia kazi kama zilivyo posho.
Posho ulipwa kamai fidia ya ghalama furani za majukumu yako tena zinalipwa kwa kiwango sawa na hiyo ghalama, regea wabunge waliposema posho ziwe 350,000 kwa kikao watu walipinga kwa hoja kwamba hakuna hotel za bei kubwa hivyo dodoma, msingi ni kwamba posho aitakiwi kwenda kwingine ila kwa malengo usika, sasa hapa lema alisimamishwa hivyo hakuna cha kumfidia kwenye mafuta maana shughuli zake za ubunge zilisimamishwa, mshahara ni haki ya msingi ya mtu, hiyo ni pesa ya matumizi yake, POSHO YA MAFUTA imeelezwa ni ya mafuta ya ni mafuta ya gani lipi, sasa ugumu wa kuelewa hapo unatoka wapi?
 
Mkuu upo sahihi, marehemu Sumari (RIP) anakuw mbunge mpk anafariki wala kuapishwa hakuwah coz alikuwa mgonjwa,wala bungeni hata siku moja hakuwah kuingia, hata kampen alikuw anafanyiwa lakini hiyo keki alikuwa anaipata na hatukuona humu magamba wakinena lolote!
Tukiwaambia katiba na sheria mpya mnaleta porojo, mwisho wenu magamba utafika tu, c mmeshaanza kuona mautumbo yenu

Kama magamba awakusema ni nani aliyesema? hata Lema angekaa kimya kimya tusingejua, na ndio maana tunalilia freedom of information, hizi information zimekuja kwa bahati mbaya kwako mlipwaji ni Lema, lakini kwangu siangali anayelipwa, i need value for money on my TAX, sio itumike ovyoo ovyoo.
One more thing kuna watu wanazani wana mapenzi kwa chadema, wako tayari kutetea lolote wakiwa na dream kwamba CHADEMA ikiingia madarakani wanaweza kupata unafuu wa maisha by default, hii inatoka na uvivu wa watanzania walio wengine, wote tunajua kwamba ili ni kosa, lakini tunalifunika ili iwe favour kwa chadema, kitu ambacho ni kosa kisha wakiingia madarakani tutagundua kwamba msingi wa utawala bora ni lazima, na akuna favour, tunapigania chama badala ya misingi bora nchi ile iweje?
Hii sio hoja ya kichama ni hoja ya matumizi bora ya kodi
 
Back
Top Bottom