Benaire
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,962
- 312
Je Lema alijisimamisha ubunge au alisimamishwa? Kwa kuwa alisimamishwa na hakujisimamisha akipatikana hana hatia analipwa stahiki zake zote!
Ni kama mshitakiwa alieshutumiwa kesi,akapambana kwa muda mrefu baadae akaja kushinda....kisha akadai fidia za malipo aliyokuwa anaingiza kwa siku...nadhani hapa utaibuka na kusema kila siku ulikuwa unashinda mahakamani ulipwe hela ya nini? Ndio unanyotaka kusema hapa...
Kwa utaratibu huo basi serikali inaweza kuwa inawafungulia kesi na kuwapotezea muda wabunge wa upinzani ili wasiwalipe!
Sidhani kama ulijipa muda wa kutosha kabla ya kupost hili.....makosa ya kisheria yanagharama na gharama ndio hizi...kuna raha ukishinda 2!
Ni kama mshitakiwa alieshutumiwa kesi,akapambana kwa muda mrefu baadae akaja kushinda....kisha akadai fidia za malipo aliyokuwa anaingiza kwa siku...nadhani hapa utaibuka na kusema kila siku ulikuwa unashinda mahakamani ulipwe hela ya nini? Ndio unanyotaka kusema hapa...
Kwa utaratibu huo basi serikali inaweza kuwa inawafungulia kesi na kuwapotezea muda wabunge wa upinzani ili wasiwalipe!
Sidhani kama ulijipa muda wa kutosha kabla ya kupost hili.....makosa ya kisheria yanagharama na gharama ndio hizi...kuna raha ukishinda 2!