Napinga kibali cha Papa kwa Mapadre

Napinga kibali cha Papa kwa Mapadre

Naona unamchukulia baba wa kanisa Katoliki kama Rais au mkuu wa mkoa.hujui mamlaka yake nadhana wewe ni mmoja kati ya katukuneni wajinga.maoni uliyoandika yanaakisi uko kidunia zaidi.ni aya gani inasema padri ni malaika au hatahukumiwa kama wewe.mapadri hutokana binadamu ambao asili ya dhambi kuwa padri ni kujitoa sadaka kwa nini unamhukumu bab wa kanisa kana kwamba huyo padri alilazimshwa na Papa.hata Kaini alimuua Abel kana kwamba yeye ndiye alikataa sadaka ya Kaini.kwa
Unachopinga ni kitu gani? Ni heri mtu kudanganya kuwa ni mtawa akawa anazini kimyakimya au kuwa na Mke na kutenda kazi ya Mungu. Msiwe na mazoea unajua kuna wakati haya mambo inabidi kujua badala ya kukaririshwa. Papa kaona mbali watawa wengi wanaanguka katika dhambi ya uzinzi pengine kuliruhusu hili litaokoa sana roho za watu.
 
Jambo la papa unalipinga humu jf, sidhani kama papa yupo jf siku hizi.
Wastage of time
 
Aaah mambo mengine yabaki kama yalivyo na kila mmoja abaki na imani yake
 
Naona unamchukulia baba wa kanisa Katoliki kama Rais au mkuu wa mkoa.hujui mamlaka yake nadhana wewe ni mmoja kati ya katukuneni wajinga.maoni uliyoandika yanaakisi uko kidunia zaidi.ni aya gani inasema padri ni malaika au hatahukumiwa kama wewe.mapadri hutokana binadamu ambao asili ya dhambi kuwa padri ni kujitoa sadaka kwa nini unamhukumu bab wa kanisa kana kwamba huyo padri alilazimshwa na Papa.hata Kaini alimuua Abel kana kwamba yeye ndiye alikataa sadaka ya Kaini.kwa
Hivi urevlieiie ulichokiandikaa au umeandika na jazba?? umekielewa nilichokiandikaa au unaleta matusi tu. Pengine hujui kama hujui utaratibu wa Kirumi?
 
Aksante Mromani Katholiki mwenzangu. Mimi ni Mromani Katholiki mzuri tu. Nasadiki kwa kanisa moja takatifu la mitume. Neno moja tu ningelitaka kulisema hapa maadam umeleta hoja hii nadhani ulitaka tukuunge mkono au tukupinge.
Hili jambo nadhani kwa mtazamo wa wale ambao hawana exposure yeyote zaidi ya kigangoni au parokiani. Na haswa wale ambao tangu wazaliwe utakuta kaingia makanisa sio zaidi ya 2 ukimwambia kuwa kuna padri ana mtoto au sista mwenye katoto alikotupa hawezi amini.
Tembea uoane mwenyewe. Kule USA kuna chama cha mapadre wakatoliki waliooa na wanafanya shughuli zote za kikanisa na hakuna awapingaye. Sasa hivi kuna chama cha watoto waliozaliwa na mama zao kutokana na mimba za mapadre ila hawakai nao. Kuna chama cha wanawake waliozaa na mapadri ambao wamewatelekeza.
Msikae tu mmejawa na nyongo huku kumbe wala sio mbali mnaweza kupata msaada. Mapadre walioko Tz ambao mliwazalisha wanawake na kuwatelekeza hamtaki hili lisikike. Lakini, Your days are numbered..in Kangi's voice.
Siku za karibuni, kumetokea matendo ya uovu uliokithiri hapa hapa Tz kiasi kwambo nadhani huyo papa asiwaruhusu tu hao huko marekani kusini bali duniani kote waoe/waolewe. Kusikia ufuska unaotendwa humo parokiani hata shetani ataukataa. Kule kuna lesbians na gay fathers. Wamewaharibu vijana wadogo tena chini ya umri wa 12 yrs.
Ningetamani wanausalama waangalie sehemu hii.
 
Kwa mimi naona kujamiiana ni moja ya alama kuu za unyama, embu angalia pilika za viumbe wengine wanazofanya ili tu wajamiane, kama chura yaani eti ambaye atakoroma sauti nzito ndo atapa gemu, embu cheki ndege mpaka acheze stepu za ajabu ndo apate, cheki mbuzi anavyonyaua pua yake ili tu ajue jike lipi anaweza lipanda. Na sasa embu angalia binadamu anavyo hangaika na kiuno chake sasa ili amwage ni unyama jamani ukiangalia kwa undani.

hii paragraph umeandika TAKATAKA
 
Ndo maana nilishtuka kwamba wameanza kuruhusu makasisi kuoa huwenda ndo ukawa mwanzo wa kupiga chini idea zote kubwa ambazo binadamu peke yake tu anaweza zifikiria.

kwahiyo mkuu unataka kusemaje? wasioe ili ma lesbian na ma gay waongezeke? au umemaanisha nini
 
Habari za kushinda.
Hapa majuzi nimesika Habari iliyonifanya kushtuka sana kimawazo juu ya huko tunakoelekea. Habari yenyewe ilikuwa ni juu ya papa wa roma kutoa kibali kwa mapadre wa jamii moja huko amerika kusini kuoa na kuzaa watoto. Ni habari inashtusha sana endapo itaendelea kutokea katika maeneo mbalimbali.

Kwa sababu gani nasema inashtusha, ni kwa sababu maparde wa roma catholic ni kama beacon ya ubinadamu, ni alama ya kututofautisha sisi na viumbe wengine.

Moja ya sifa moja ya binadamu ni kwamba yupo conscious of his living ( kujitambua) na kwa mawazo yake mwenyewe anaweza kuchagua mambo ya kufanya bila kuhangaishwa na mambo ya kimwili.

Wanyama hawawezi kamwe kujizuia kwa matendo yao ya kimwili, eehe jogoo akiona tetea lazima afukuzie sio kwamba anapenda bali ndo hivyo hawezi jizuia, Na symbol kubwa ya kuonyesha kwamba binadamu anauwezo mkumbwa sana ni kuweza kustaili maisha pasipo kupata raha za kujamiina.

Kwa mimi naona kujamiiana ni moja ya alama kuu za unyama, embu angalia pilika za viumbe wengine wanazofanya ili tu wajamiane, kama chura yaani eti ambaye atakoroma sauti nzito ndo atapa gemu, embu cheki ndege mpaka acheze stepu za ajabu ndo apate, cheki mbuzi anavyonyaua pua yake ili tu ajue jike lipi anaweza lipanda. Na sasa embu angalia binadamu anavyo hangaika na kiuno chake sasa ili amwage ni unyama jamani ukiangalia kwa undani.

Turudi kwa mapadre na masister hawa wanaishi kwa idea ya usafi kutunza tunu hii ni idea ambayo ipo nje ya unyama ambao binadamu anao Lakini kwa kuishi tuu kuifuata ni ushindi mkubwa sana katika ulimwengu huu wa vionekanavyo na vitamanishavyo, watu wanapaswa wajue maisha huwa hayajali kama baba na mama wanaishi kwa kuraha au karaha inachojali ni kwamba yamefanikisha hivyi viumbe viwili kukutana na kufyatua kingine ili kuendeleza uwepo wa maisha.
Sasa katika haya maisha sio kwamba siku zote wanadamu tunaelekea kwenye maendeleo, kwamba huko mbeleni binadamu watakuwa watu wa technologia sana la hasha bali pia kuna uwezekano wa kurudi nyuma kwa baadhi ya mambo, binadamu wana weza huko mbeleni wasijali tena utu alionao binadamu na kuamua kutokuendelea tena na utafiti wa kisayansi kubaki katika maisha ya kusurvive tuu.

Ndo maana nilishtuka kwamba wameanza kuruhusu makasisi kuoa huwenda ndo ukawa mwanzo wa kupiga chini idea zote kubwa ambazo binadamu peke yake tu anaweza zifikiria.
Huwa kuna hoax pia
 
Umesema unapinga papa kuruhusu mapadre wa eneo fulani huko Amerika kuoa, unalipinga hapa hapa JF? au utachukua hatua za juu zaidi!
Ila tuache udini na unafiki,
Mtu mwanaume umekamilika kabisa, unakula msosi vizuri kabisa, maisha safi mpaka sehemu ya kulala iko vizuri, usitie wadada? Unataka utiwe?
Mimi mapadre siamini kama kweli hawalali na wadada.
Mdada kabisa unakula vizuri na unaishi vizuri eti uzizuie nyege,
Kwa mwanaume kuna njia / namna kadhaa za kujizuia kufanya ngono, moja wapo ikiwa ni; Uwe mpunga, usuguliwe.
Kwa masista bila kutiwa lazima watiane vidole na visigino huko parokia!
Anataka kumfanya mungu mjinga kwa kuumba jinsia mbili tofauti
 
bahati93
"watu wanaweza salimisha mioyo yao kuonyesha ukuu wa mwanadamu."

Mkuu ni mmoja tuu, MUNGU
 
Kwani biblia gani imesema ukiwa padre lazima usioe? Paulo hakuoa kwa sababu na mwisho alishauri kama hutaweza ni vyema uoe na haikua sheria
Habari za kushinda.
Hapa majuzi nimesika Habari iliyonifanya kushtuka sana kimawazo juu ya huko tunakoelekea. Habari yenyewe ilikuwa ni juu ya papa wa roma kutoa kibali kwa mapadre wa jamii moja huko amerika kusini kuoa na kuzaa watoto. Ni habari inashtusha sana endapo itaendelea kutokea katika maeneo mbalimbali.

Kwa sababu gani nasema inashtusha, ni kwa sababu maparde wa roma catholic ni kama beacon ya ubinadamu, ni alama ya kututofautisha sisi na viumbe wengine.

Moja ya sifa moja ya binadamu ni kwamba yupo conscious of his living ( kujitambua) na kwa mawazo yake mwenyewe anaweza kuchagua mambo ya kufanya bila kuhangaishwa na mambo ya kimwili.

Wanyama hawawezi kamwe kujizuia kwa matendo yao ya kimwili, eehe jogoo akiona tetea lazima afukuzie sio kwamba anapenda bali ndo hivyo hawezi jizuia, Na symbol kubwa ya kuonyesha kwamba binadamu anauwezo mkumbwa sana ni kuweza kustaili maisha pasipo kupata raha za kujamiina.

Kwa mimi naona kujamiiana ni moja ya alama kuu za unyama, embu angalia pilika za viumbe wengine wanazofanya ili tu wajamiane, kama chura yaani eti ambaye atakoroma sauti nzito ndo atapa gemu, embu cheki ndege mpaka acheze stepu za ajabu ndo apate, cheki mbuzi anavyonyaua pua yake ili tu ajue jike lipi anaweza lipanda. Na sasa embu angalia binadamu anavyo hangaika na kiuno chake sasa ili amwage ni unyama jamani ukiangalia kwa undani.

Turudi kwa mapadre na masister hawa wanaishi kwa idea ya usafi kutunza tunu hii ni idea ambayo ipo nje ya unyama ambao binadamu anao Lakini kwa kuishi tuu kuifuata ni ushindi mkubwa sana katika ulimwengu huu wa vionekanavyo na vitamanishavyo, watu wanapaswa wajue maisha huwa hayajali kama baba na mama wanaishi kwa kuraha au karaha inachojali ni kwamba yamefanikisha hivyi viumbe viwili kukutana na kufyatua kingine ili kuendeleza uwepo wa maisha.
Sasa katika haya maisha sio kwamba siku zote wanadamu tunaelekea kwenye maendeleo, kwamba huko mbeleni binadamu watakuwa watu wa technologia sana la hasha bali pia kuna uwezekano wa kurudi nyuma kwa baadhi ya mambo, binadamu wana weza huko mbeleni wasijali tena utu alionao binadamu na kuamua kutokuendelea tena na utafiti wa kisayansi kubaki katika maisha ya kusurvive tuu.

Ndo maana nilishtuka kwamba wameanza kuruhusu makasisi kuoa huwenda ndo ukawa mwanzo wa kupiga chini idea zote kubwa ambazo binadamu peke yake tu anaweza zifikiria.
 
Kwani biblia gani imesema ukiwa padre lazima usioe? Paulo hakuoa kwa sababu na mwisho alishauri kama hutaweza ni vyema uoe na haikua sheria
Yesu aliwaambia mitume waache familia zao wamfuate
 
Back
Top Bottom