kitonsa
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 1,213
- 2,667
kwa ujumla mimi ni janki tu handsome boy, tatizo ninalokutana nalo natembea sana na vibibi vizee..sipendi hii tabia lakini imeshaingia kwenye damu. sababu nadhani ni 1.kuwatongoza kwake ni very simple 2 wanajua kubembeleza kuliko vijana .3 hawana gharama 4.wanajua mambo ya sita kwa sita OMBI langu kwenu wana jf naomba ushauri wenu nitawezaje kuacha tabia hii, kwa sababu nataka kuoa na kuwa na watoto, hawa vibibi vimesha fika meno_pause ivyo hawawezi kunizalia watoto