Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 3,985
- 2,770
Hiyo Molina ya Mabwepande Daladala zitaangukaInatakiwa iwe
Mbezi luis - Tegeta Nyuki via Madale
Mbezi luis - Kawe via Goba
Mbezi luis - Bunju B via Mabwe pande
Hiyo Molina ya Mabwepande Daladala zitaangukaInatakiwa iwe
Mbezi luis - Tegeta Nyuki via Madale
Mbezi luis - Kawe via Goba
Mbezi luis - Bunju B via Mabwe pande
wameanza ujenzi wa kipande kilichobaki wazo hadi madale muda wowote inakamilikaHivi ile njia ya kutokea Wazo ilishamalizwa wekewa lami?
Kwa kweli hii barabara ya Mbezi High school kwenda mpigi magoe ni changamoto kubwa sana. Na hii ingesaidia sana tena sana magari yanayoenda kaskazini kupitia bagamoyo make ni bonge la shortcut. Barabara ni ya Tanroad lakini kuijenga ni mbinde sana. Hili jimbo la Kibamba lina lami chini ya asilimia 2 tu.Kweli kabisa hata sisi watu wa mpji magoe inakuwa ngum sana kwenda bunju, na zaidi ya yote watuwekee lami
Nakuuliza ww unaesema hiyo ni ruti ndefu sana wakati haizidi hata kms 35 ambako kiuchambuzi ni hiviYaan unauliza swali juu ya swali
Mkuu tayari kuna daladala naionaga tegeta nyuki mbezi via madale ila ipo moja tuuTegeta nyuki to Mbezi luis ni route ya muhimu sana.
Wahusika wafanye hima barabara iko na lami tayari watoe maelekezo haraka.
😄😄 Assingment yako nimefanya mkuu na yafuatayo ni majawabuNakuuliza ww unaesema hiyo ni ruti ndefu sana wakati haizidi hata kms 35 ambako kiuchambuzi ni hivi
Mbezi mwisho hadi njia nne 7kms
Njia nne hadi tegeta 13kms
Tegeta hadi bunju b kati ya 14 au 15 kms ambapo total ni 35kms sasa hebu chukua umbali toka goms hadi masaki ni kms ngapi au mbagara kwenda kawe ni kms ngapi then utajua ipi ni ruti ndefu kati ya hizo
Mkuu tayari kuna daladala naionaga tegeta nyuki mbezi via madale ila ipo moja tuu
Em fanya Chanika to M/complexAssingment yako nimefanya mkuu na yafuatayo ni majawabu
Goms to masaki ni 34-35 km
Mbagala to kawe 24-27 km
Inatakiwa iwe
Mbezi luis - Tegeta Nyuki via Madale
Mbezi luis - Kawe via Goba
Mbezi luis - Bunju B via Mabwe pande
Safi sana basi kumbe inawezekana kukawa na ruti mbezi luis bunju b hata nauli wakiweka buku si mbaya kwani itapunguza ile kero ya kuunga unga daladala kwani hiyo nauli ya buku ndo wanayotuchaji usiku kutoka mwenge sheli hadi bunju b na tushaizoea😄😄 Assingment yako nimefanya mkuu na yafuatayo ni majawabu
Goms to masaki ni 34-35 km
Mbagala to kawe 24-27 km
Na vipi muda unaoutumia kukaa barabaraniNakuuliza ww unaesema hiyo ni ruti ndefu sana wakati haizidi hata kms 35 ambako kiuchambuzi ni hivi
Mbezi mwisho hadi njia nne 7kms
Njia nne hadi tegeta 13kms
Tegeta hadi bunju b kati ya 14 au 15 kms ambapo total ni 35kms sasa hebu chukua umbali toka goms hadi masaki ni kms ngapi au mbagara kwenda kawe ni kms ngapi then utajua ipi ni ruti ndefu kati ya hizo
Mkuu tayari kuna daladala naionaga tegeta nyuki mbezi via madale ila ipo moja tuu
Kwa hiyo nkipanda zakuunga unga muda unapoungua?Na vipi muda unaoutumia kukaa barabarani
Hahaaaa. Mimi nasemea sawa umeshapima 'km' vipi muda wa kukaa barabarani nao umepima?Kwa hiyo nkipanda zakuunga unga muda unapoungua?
Sasa tutafanyeje wakati ndo uwezo wetu wakukaa maporini huko masaki na oysterbay wamejichagulia wao waliopo ulimwengu wa kwanzaHahaaaa. Mimi nasemea sawa umeshapima 'km' vipi muda wa kukaa barabarani nao umepima?
YapIngawaje mimi sio mkazi wa huko lakini naunga mkono!!
Hivi siku hizi mnatumia route ipi?
Mbezi Luis to Bagamoyo Rd (Mbezi Beach) kupitia Goba, au?!
Safi dulla ila swali langu la msingi niliomba upendekeze bei ya nauliSafi sana basi kumbe inawezekana kukawa na ruti mbezi luis bunju b hata nauli wakiweka buku si mbaya kwani itapunguza ile kero ya kuunga unga daladala kwani hiyo nauli ya buku ndo wanayotuchaji usiku kutoka mwenge sheli hadi bunju b na tushaizoea
Google tu chief usipate tabuEm fanya Chanika to M/complex
Sina smartGoogle tu chief usipate tabu
Tumia ata kitochiSina smart