Kwani kutoka g/mboto kwenda masaki au mbagara kwenda kawe ni jirani?Route ndefu sana iyo sijui unapendekeza nauli iwe bei gan ?
Kwani kutoka g/mboto kwenda masaki au mbagara kwenda kawe ni jirani?Route ndefu sana iyo sijui unapendekeza nauli iwe bei gan ?
Hiyo ya mbezi luis bunju via mabwe nimeipenda kwani kutoka bunju kwenda mbezi via mabwe ni jirani sana sema njia haina huduma
YeahIngawaje mimi sio mkazi wa huko lakini naunga mkono!!
Hivi siku hizi mnatumia route ipi?
Mbezi Luis to Bagamoyo Rd (Mbezi Beach) kupitia Goba, au?!
Kwa bei ya ndani ya dsm ruti ndefu zaidi ni 750 nauli yake.Inaizidi route ya Mbezi - Mlandizi?
Hata kama iko sawa kwa umbali na Mbezi - Mlandizi?Kwa bei ya ndani ya dsm ruti ndefu zaidi ni 750 nauli yake.
Hii inatokana na kukosekana ushirikishwaji wa wananchi kwenye kutoa mapendekezo, wengi wa watoa maamuzi hawatumii public transport, wana magari yao binafsi, kwahiyo hawaoni hizo adha, niliwahi kumsikia kigogo mmoja akishupalia kujengwa kwa shule karibu na eneo analoishi, kumbe mkewe ni Mwl anafundisha mbali.Wadau natumaini kuwa ni wazima wa afya.
Kituo cha daladala Mbezi-Luis ni katika vituo vikubwa vinavyounganisha maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam.
Cha kushangaza hakuna daladala za moja kwa moja Mbezi Luis-Bunju, hali inayowapa ugumu wakazi wa Kunduchi, Mbezi Beach, Tegeta na Bunju kuwafanya waunganishe magari hivyo nauli kuwa kubwa na usumbufu kuongezeka.
Napendekeza kuanzishwa kwa route hii mpya.
Ruti yoyote inayolipa mabasi yenyewe yanaenda omba,Hata kama iko sawa kwa umbali na Mbezi - Mlandizi?
Yaan unauliza swali juu ya swaliKwani kutoka g/mboto kwenda masaki au mbagara kwenda kawe ni jirani?
Route ndefu sana iyo sijui unapendekeza nauli iwe bei gan ?
Ziwe route mbili, via masana na nyingine via wazo
Tayari kina daladala moja t/nyika_ mbezi
Hata Mbuyu ulianza kama mchichaaa .... uhitaji ukashaonekana natumai serikali itaweka lami kamwa walivyoweka njia za Goba
Ruti yoyote inayolipa mabasi yenyewe yanaenda omba,
Sema utata unakujaga bei elekezi ya nauli.
Kwa jiji dsm nauli kubwa kwa ruti ni 750 ndogo 400
So sidhani kama urefu ukiwa sawa nauli itakuwa sawa! ( kwa fact ya wale wa mlandizi wanatoka kwenda mkoa mwingine).
Umbali na wingi wa abiria mida yoteKuna tofauti gani kwa ruti ya Mbeziluis-Makumbusho via goba na Mbeziluis-Tegeta via goba