Wadau natumaini kuwa ni wazima wa afya.
Kituo cha daladala Mbezi-Luis ni katika vituo vikubwa vinavyounganisha maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam.
Cha kushangaza hakuna daladala za moja kwa moja Mbezi Luis-Bunju, hali inayowapa ugumu wakazi wa Kunduchi, Mbezi Beach, Tegeta na Bunju kuwafanya waunganishe magari hivyo nauli kuwa kubwa na usumbufu kuongezeka.
Napendekeza kuanzishwa kwa route hii mpya.
Kituo cha daladala Mbezi-Luis ni katika vituo vikubwa vinavyounganisha maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam.
Cha kushangaza hakuna daladala za moja kwa moja Mbezi Luis-Bunju, hali inayowapa ugumu wakazi wa Kunduchi, Mbezi Beach, Tegeta na Bunju kuwafanya waunganishe magari hivyo nauli kuwa kubwa na usumbufu kuongezeka.
Napendekeza kuanzishwa kwa route hii mpya.