Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 178
JF Support Team
Naomba kutoa pendekezo la kuwepo kwa KILIMO NA UFUGAJI FORUM ndani ya JF kama zilivyotengwa forum za Business & Economic, Jukwaa la Siasa n.k. Kwa sasa naona mada nyingi zinazohusu Kilimo na Ufugaji zimekuwa zikiwekwa katika Business & Economic Forum, ambapo bado ni jambo jema bali pendekezo langu linalenga katika kupata mada husika kwa urahisi.
Hivyo basi taarifa zote zinazohusu Kilimo na Ufugaji zinaweza kukusanya na kuwekwa katika forum hiyo, kuna nyakati kumekuwa na mada ambazo zimekuwa zikirudiwa kujadiliwa.
Wadau mnaonaje hili, ni mapendekezo tu.
Nawakilisha!
Naomba kutoa pendekezo la kuwepo kwa KILIMO NA UFUGAJI FORUM ndani ya JF kama zilivyotengwa forum za Business & Economic, Jukwaa la Siasa n.k. Kwa sasa naona mada nyingi zinazohusu Kilimo na Ufugaji zimekuwa zikiwekwa katika Business & Economic Forum, ambapo bado ni jambo jema bali pendekezo langu linalenga katika kupata mada husika kwa urahisi.
Hivyo basi taarifa zote zinazohusu Kilimo na Ufugaji zinaweza kukusanya na kuwekwa katika forum hiyo, kuna nyakati kumekuwa na mada ambazo zimekuwa zikirudiwa kujadiliwa.
Wadau mnaonaje hili, ni mapendekezo tu.
Nawakilisha!