Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,115
kilizi hilo ni tatizo la kisaikolojia. Pole sana. Kwa kadri unavyomuomba Mungu, endelea na uzidishe maombi. Usiende kwa mtoa pepo. HAKUNA hicho kitu. Ni akili tu imekua twisted kwa sababu ambazo ni vigumu kujadili hapa. Kumbuka, Mungu humsaidia mwenye kujitahidi kutenda kulingana na aombavyo. Hivyo, usiombe mume kisha uendelee na hao wamama. Jitenge nao kwa hali, mali na hisia.
Pili, naomba uelewe tu kuwa upendo sio hisia. Ngono ndo ina hisia. Upendo ni matendo. Ukiamua kumpenda mtu, haijalishi hisia zako kingono kumuhusu. Mtendee yaliyo mema na ndio upendo. Ingelikua ni hisia, Yesu asingesema upendo ni AMRI KUU.
Hivyo basi, upatapo mwanaume alie chaguo lako, na atakaekuonyesha upendo wa dhati, basi na wewe amua kumpenda. Down the line, utaona raha ya kutochanganya hisia-ngono/mahaba na upendo.
Pole kwa meseji ndefu.
Pili, naomba uelewe tu kuwa upendo sio hisia. Ngono ndo ina hisia. Upendo ni matendo. Ukiamua kumpenda mtu, haijalishi hisia zako kingono kumuhusu. Mtendee yaliyo mema na ndio upendo. Ingelikua ni hisia, Yesu asingesema upendo ni AMRI KUU.
Hivyo basi, upatapo mwanaume alie chaguo lako, na atakaekuonyesha upendo wa dhati, basi na wewe amua kumpenda. Down the line, utaona raha ya kutochanganya hisia-ngono/mahaba na upendo.
Pole kwa meseji ndefu.
Last edited by a moderator: