Napenda wanawake wenzangu

Napenda wanawake wenzangu

Mimi ushauri wangu mi kuwa usijaribu kushindana na maumbile yako nikweli kuna watu wanazaliwa hivyo wao huwa wanatamani watu wa jinsia moja. Hata hivyo nenda Marekani kuna hospitali moja inatubu huo ugonjwa wa kupenda wanawake wenzako. Huna haja ya kusikitika wala kuona umepungukiwa na kitu na hakuna kitu kama shetani au pepo ni maumbile tu ndivyo ulivyozaliwa.
 
Maombi ya mwenye dhambi nichukizo kwa Mungu okoka leo na Yesu a talitoa hilo pepo

Hakuna kitu kama hicho mungu anapenda penda anayefanya dhambi kwa ujinga afu akajutia dhambi alizo fanya na kisha akatubu huyu Dada inaonyesha hata yeye huu mchezo haupendi ila kuna hali fulani anayo cha msingi aendelee kuomba mungu pili Mambo ya boyfriend mungu hapendi watu wazini amtafute mtu watakae funga nae ndoa ajiepushe na hizo dhambi
 
Back
Top Bottom