Haya mkuu tufanye umeshinda basi ili isiwe taabu maana kubishana si jambo ambalo nalihusudu kama weweKikikikikik, unapenda sana kuitwa MZEE? Maana siku hizi hata vijana unakuta wanataka waitwe wazee wa baiskeli, au mzee wa ulaji, mzee wa....!
ndio maana unataka ubaki na gesiiii, nimegundua! Lol
Yan nikimuona tuh huwa nakuwa hoi bin taaban,
mke si ndio huyu??
waoooh pig body type?
Thick and juicy and more cushion for the pushin':becky:
mie huwa napenda wale ambao hawapendwi na watu wengi,nakula peke yangu.
kwa kuchoka haraka hao kwa mambo fulan hawajambo
Ni wazuri sana ila muda mwingine wanakera.
Mijinyama inakuwa mingi mpaka anashindwa kuonyesha maujuzi wake kwe sita kwa sita.
Mijingine inakuwa na maugonjwa mengi mpaka yanakera.
Mijingine ndo inaona ndo kitega uchumi chao.
Ila msinirushie mawe ni Mtazamo tu.
vi-portable for me
View attachment 80436
ugojwa mmoja na mimi huo, mkuu umeamua kuja kutuliza huku mambo ya gas?
naunga mkono hoja.
Sitii neno zaidi, ili wakija kukurukia iwe ni wewe tu.
Ila yana ladha yake kwenye macho..
Ngoja nisiseme, bado niko kazini mimi!
yepi hayo??
Yale yalee au,ya kubonyesha kizenjii??
hayo hayo ya kubonyezwa kizenjii wanakua hoiii hata round 1 haishi utasikia nimechoka bwana eeeeee mamaaa vp mbona ndo kwanza nipo nusu ya safari kulikon hao wanafaa wenyewe kwa wenyewe
Kumbe unamjua dada yako alivyo? Wacha bwana! Anyway mke wangu hayuko kihivyo. She is easy to handle and attractive.
Hahahahaha! wiyelele angekuwa hivyo kama hapo kwenye Red , ungehangaika kweli? au unauziga?