Napenda sana wa sampuli hii,wewe je??

Napenda sana wa sampuli hii,wewe je??

Uwiiiiii...Nadyia shemeji yangu hii picha yako imefikaje mikononi mwa THE BIG SHOW? umekosa nini kwa kaka mpaka uanikwe humu JF! Uwiiiiiiii...mbaaa!
 
Alalalalalalalal hii ikilala usingizi usiseme! Kila likigeuza linaachia hewa chafu utaskia tsuiiiiiii

hahahahhahhahaaaaaaaaaaaaaaaaa........what a bad comment jamani!!!
uuuwi mbavu zangu mie
 
Kumbe unamjua dada yako alivyo? Wacha bwana! Anyway mke wangu hayuko kihivyo. She is easy to handle and attractive.

Hahahahaha! wiyelele angekuwa hivyo kama hapo kwenye Red , ungehangaika kweli? au unauziga?

We Lisa ni mchokozi....Naogopa kuanika machungu kila wakati. Sehemu nyingine lazima nizuge ili nijiliwaze maana ningeonekana mlalamishi sana
 
Acha zako we mbona wengine nyama ngumu,inapegemeana na mwl wa m2.mbona kuna wembamba lkn very smooth
 
uwiiiiii...nadyia shemeji yangu hii picha yako imefikaje mikononi mwa the big show? Umekosa nini kwa kaka mpaka uanikwe humu jf! Uwiiiiiiii...mbaaa!


tena inakubidi ukikukutana nae sharti ule na ushibe,
ukileta zako za kibrazameni utaumbuka,,ooh...!
Kumchinja kobe kama huyu kunahitaj timing,,ndio kwa maana sisi tunakimbilia kuoa kabisa wanawake wazuri kama hawa..!
Kitu kizuri sharti killiwe kwa mapenz ya bwana mungu.
 
Hapo inategemea ntu na ntu!

Ni wazuri sana ila muda mwingine wanakera.
Mijinyama inakuwa mingi mpaka anashindwa kuonyesha maujuzi wake kwe sita kwa sita.
Mijingine inakuwa na maugonjwa mengi mpaka yanakera.
Mijingine ndo inaona ndo kitega uchumi chao.

Ila msinirushie mawe ni Mtazamo tu.
 
Hapo inategemea ntu na ntu!

umeona eeh?
inategemea na ntu na ntu,ntu mwingie nke wake kama akiwa nzuri kama huyo antumi sokon,we unafanya nchezo nini?
usifanye nchezo kabisaaa,,
ndio zetuu sisi,kwenye "M' tunaweka "N" kwa confidence zote..
 
vi-portable for me
attachment.php

lo! Sampuli hii wacha tu! Usingizi haziji....wapatikana wapi?kivipi?
 
una nyota ya punda?

Au ndo mambo ya....?


lol,mkuu invisible leo nimecheka saaaanaaa..!!
Tokea nijiunge hapa jukwaani hakuna siku nimevunja mbavu kama leo..!
You made my day,nakushukuru pia kwa kunipa rahatan mustajabah..!
Shekhe nayeye naona kaafa kalegea kwa ma miss bantu...!!
Ha ha ha ha,,mwache invisible aitwe invisible tuuuh...
 
Naona kashika gauni lake kana kwamba kanataka kulinyanyua juu ... Sijui nia yake ni nn? (picha ya pili) afa naona kuna arrows au ni visu vinamuelekea ... Kwantizamo wangu naona ni kana kwamba kanaAct sinema ya kichina vo!
 
Back
Top Bottom