THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,775
- 15,129
Yaani mkuu umeamua kumsema live mkeo?Alalalalalalalal hii ikilala usingizi usiseme! Kila likigeuza linaachia hewa chafu utaskia tsuiiiiiii
Yaani mkuu umeamua kumsema live mkeo?
hahahahahha du umenichekesha sana aiseee!Ndio maana unataka ubaki na gesiiii, nimegundua! LOL
Sasa uliyajuaje hayo yote mkuu Wiyelele?Au ndio mambo ya kuchakachua nje ya mahusiano uliyonayo?Kumbe unamjua dada yako alivyo? Wacha bwana! Anyway mke wangu hayuko kihivyo. She is easy to handle and attractive.
Sasa uliyajuaje hayo yote mkuu Wiyelele?Au ndio mambo ya kuchakachua nje ya mahusiano uliyonayo?
Inaelekea wewe ni mtoto kabisa! Yaani hata kama umeoa ulikwenda tu Kariakoo na kujizolea mke?
Alalalalalalalal hii ikilala usingizi usiseme! Kila likigeuza linaachia hewa chafu utaskia tsuiiiiiii
Kwa hiyo ni trial and error ndio imekupa maujuzi yote hayo?
Angalia usije kuwa unaongea na baba yako?Inaelekea wewe ni mtoto kabisa! Yaani hata kama umeoa ulikwenda tu Kariakoo na kujizolea mke?
Yan nikimuona tuh huwa nakuwa hoi bin taaban,
mke si ndio huyu??
Angalia usije kuwa unaongea na baba yako?