DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,328
- Thread starter
- #41
Ni kweli kabisa. Mara nyingine watu tunashindwa kuona hilo hadi baadaye sana. Nimejifunza somo kwa kweli.Hivi umesha mwangalia vizuri huyo bibie, anaonekana kabisa hajatulia
Sent using Jamii Forums mobile app