Immortal_MH
JF-Expert Member
- May 14, 2013
- 1,240
- 2,252
weka picha aiseeee
Huyu vipi
nchi kumi na mbiliKwani mimi nimesemaje jamani!!!
Hahha flat screen inchi ngapi!!!
nchi kumi na mbili
inakuwa weka mbali na watoto aiseeHio ndio yenyewe sasa... Inanoga sana ukilia na kachumbari yenye kapilipili ka mbaaaaaali!!!
Nimetoka kapa!!
jamani mimi nipo flat aiseee
Vipi huyu hapa dada yangu anakufaa nikuunganishe?Nampenda mwanamke mwenye makalio makubwa ambayo akitembea yanakuwa kama yanadondoka hivi.
Siyo yawe magumu magumu, nayapenda yale malaini yanayo danse na mwenekano wake wa mviringo.
Akiwa anatembea yanacheza singida dodoma, singida dodoma. Akipunguza mwendo yanacheze dar Pwani, Dar Pwani.
Nayapenda sana Aloooo ha ha ha!!!! ila kwa sababu ya fu#k sake.
Mwanamke ambaye napenda aje kuwa mke wangu awe ni mwanamke mwenye akili sana, mrefu wastani na mwenye mwili wa wastani. Awe na akili ya utafutaji pesa na mwenye kujituma.
Asiwe na makalio makubwa.
Wewe je unapenda mwanamke wa namna gani?
Hayo ndo unayofikiria asubuhi asubuhi... inaonesha una ukame.
Weka picha bhanajamani mimi nipo flat aiseee
Msandawe Halisi, nahisi pepo la ngono limeshajenga makazi ndani ya roho yako. Unahitaji kupelekwa kwenye kanisa la wokovu uombewe!!!! Nashukuru mkoani kwangu Katavi hakuna watu wanaowaza waza mambo yako. Looooh, haya angalia haya hapa uurudike halafu uende kutubu!!!!
View attachment 142668
inakuwa weka mbali na watoto aisee