Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 351
Nampenda mwanamke mwenye makalio makubwa ambayo akitembea yanakuwa kama yanadondoka hivi.
Siyo yawe magumu magumu, nayapenda yale malaini yanayo danse na mwenekano wake wa mviringo.
Akiwa anatembea yanacheza singida dodoma, singida dodoma. Akipunguza mwendo yanacheze dar Pwani, Dar Pwani.
Nayapenda sana Aloooo ha ha ha!!!! ila kwa sababu ya fu#k sake.
Mwanamke ambaye napenda aje kuwa mke wangu awe ni mwanamke mwenye akili sana, mrefu wastani na mwenye mwili wa wastani. Awe na akili ya utafutaji pesa na mwenye kujituma.
Asiwe na makalio makubwa.
Wewe je unapenda mwanamke wa namna gani?
Siyo yawe magumu magumu, nayapenda yale malaini yanayo danse na mwenekano wake wa mviringo.
Akiwa anatembea yanacheza singida dodoma, singida dodoma. Akipunguza mwendo yanacheze dar Pwani, Dar Pwani.
Nayapenda sana Aloooo ha ha ha!!!! ila kwa sababu ya fu#k sake.
Mwanamke ambaye napenda aje kuwa mke wangu awe ni mwanamke mwenye akili sana, mrefu wastani na mwenye mwili wa wastani. Awe na akili ya utafutaji pesa na mwenye kujituma.
Asiwe na makalio makubwa.
Wewe je unapenda mwanamke wa namna gani?