Palipo na nia pana njia, kama ugonjwa wako ni kutoka na jimama kwa nini ushindwe kulipata bana. Kila kitu kinawezekana chini ya jua!.
guyz sijawahi kutoka na mmama aliyenizidi umri ila nikiwaona nawatamani sana.mi nina miaka 27.nimeajiriwa.ninaelimu ya kutosha.degree 1.siwapendei pesa.mnanishaurije?
Wafuate..
Athari atazijua tu pale atakapojiingiza mzima mzima kwa hilo jimama....kazi kwake!.Naona umemtia moyo sana, ebu mpe basi na athari za kuwa na mijimama!!
Athari atazijua tu pale atakapojiingiza mzima mzima kwa hilo jimama....kazi kwake!.
Kwani wewe unataka jibaba!.Wewe hutaki jimama??
Sina hakika uko wapi! Km uko dar jaribu kutembelea kwenye taarabu baba!huko kuna manungayembe! Au magubegube ya kutosha.utachagua mwenye. Dogo lakini degree moja usiite elimu ya kutosha!utabweteka.guyz sijawahi kutoka na mmama aliyenizidi umri ila nikiwaona nawatamani sana.mi nina miaka 27.nimeajiriwa.ninaelimu ya kutosha.degree 1.siwapendei pesa.mnanishaurije?
Naona umemtia moyo sana, ebu mpe basi na athari za kuwa na mijimama!!
tembelea viwanja vya taarab, utawakimbia mwenyewe. vilevile kuna bar moja hivi maarufu, iko maeneo ya mikocheni (nimeisahau jina), ukifika pale ndoto zako zitatimia kijana!
guyz sijawahi kutoka na mmama aliyenizidi umri ila nikiwaona nawatamani sana.mi nina miaka 27.nimeajiriwa.ninaelimu ya kutosha.degree 1.siwapendei pesa.mnanishaurije?
Al Shabab, Bro! Mi mwenyewe 28 yrs, 1st degree, mshahara M na unusu, gari zuri, ila bro naona bado, tupige shule, hiyo mikitu itakuja yenyewe, ths tym nafikiria to get wife.