muya ataho
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 508
- 340
Nenda jirani na ikulu rusha mawe getini utapata nafas mkuu
Stori za vijiweniHujui yule mwanadiplomasia na waziri wa masuala ya kigeni si ndiye mtaalam pekee aliyebaki. inavyosemakana lakini.
Mkuu hauko peke yako, kwanza vipi ulifanikiwa?Asalaam wakuu.
Kwa siku kadhaa nimekuwa nikiota nafanya mazoezi ya kijeshi,mara nyingine nipo nawinda porini huku nikiwa ndiyo mdungua wanyama.
Katika harakati za uwindaji tulikutana na nyoka mkubwa ambaye nilifanikiwa kukata kichwa kwa risasi.
Mara kadhaa naota nipo katika ofisi za kijasusi nikishauri ama kutekeleza baadhi ya mipango.
Naomba ushauri wenu,kama inanipasa kwenda sehemu kupata mafunzo hata kama ni private kwa faida yangu ama ya nchi pia.
Wataalam wa nyota na kutafsiri ndoto nawakaribisha pia..
Hii hali imepelekea kutamani kufanya hizo kazi.
Kwani ni kosa? InshaallahSema unapenda kuwa muuaji.
Ndugu yangu mambo mengine yako kwenye damu, movie si chanzo! InshaallahPunguza kuangalia moves
Wengine hatujui au hatuna vigezo mkuuJiunge na jeshi
InshaallahUkata wa Ajira unapelekea vijana kuwa na ndoto za kustaajabisha
Kwani jeshini wanaajiri vizee?
Mkuu kwani jamaa Ni kizee?Kwani jeshini wanaajiri vizee?
Mimi sizijui hata hizo video game ila Niko kama mleta madaNajua video game zina madhara haya
Sasa mkuu, si bora ungekaa kimya? InshaallahSwali la kipuuzi
Haina haja ya kumjibu huyu mbwigila
Si ukajiunge na jeshi ,kwani kuna sniper mwanasiasa,daktari au mcheza mpira si moja ya division ya jeshi .
Aaah
Naanza kuamini weye siyo wa Kigoma.Ni munyamulenge.Kuwa muuaji ni kawaida.Kagameeeeeee...njoo umchukue mtu wako.Kwani ni kosa? Inshaallah
InshaallahSouth Africa wana vyuo vya utumiaji silaha.Labda uelekee huko!
Vp bado hamjamaliza kuvuna korosho huko Tandahimba. Nasikia mmekunywa uji wa muhogo usiku wa manane mkiwa mmesimama mlangoni.
Siyo negative wala nini, mambo mengine yako kwenye damunegative effect of hollwood movies, any way ni kaz nzur
Naanza kuamini weye siyo wa Kigoma.Ni munyamulenge.Kuwa muuaji ni kawaida.Kagameeeeeee...njoo umchukue mtu wako.
Kama alibishana na JF nzima kuanzia anapanda treni Kigoma mpaka alipofika Da'slam siku ya pili unadhani ni wa mchezo huyo?Ni kazee!Mkuu kwani jamaa Ni kizee?
We jamaa bwanaNaanza kuamini weye siyo wa Kigoma.Ni munyamulenge.Kuwa muuaji ni kawaida.Kagameeeeeee...njoo umchukue mtu wako.