Najua video game zina madhara hayaAsalaam wakuu.
Kwa siku kadhaa nimekuwa nikiota nafanya mazoezi ya kijeshi,mara nyingine nipo nawinda porini huku nikiwa ndiyo mdungua wanyama.
Katika harakati za uwindaji tulikutana na nyoka mkubwa ambaye nilifanikiwa kukata kichwa kwa risasi.
Mara kadhaa naota nipo katika ofisi za kijasusi nikishauri ama kutekeleza baadhi ya mipango.
Naomba ushauri wenu,kama inanipasa kwenda sehemu kupata mafunzo hata kama ni private kwa faida yangu ama ya nchi pia.
Wataalam wa nyota na kutafsiri ndoto nawakaribisha pia..
Hii hali imepelekea kutamani kufanya hizo kazi.
Duuuuuh,,,,,,,,,mkuu ingekuwa rahisi hivyo ingekuwa poa sanaCheza ile game ya Call Of Duty, utakuwa bonge la Sniper[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
nenda karibu na kituo cha police kilicho karibu na wewe,watakuelekezaAsalaam wakuu.
Kwa siku kadhaa nimekuwa nikiota nafanya mazoezi ya kijeshi,mara nyingine nipo nawinda porini huku nikiwa ndiyo mdungua wanyama.
Katika harakati za uwindaji tulikutana na nyoka mkubwa ambaye nilifanikiwa kukata kichwa kwa risasi.
Mara kadhaa naota nipo katika ofisi za kijasusi nikishauri ama kutekeleza baadhi ya mipango.
Naomba ushauri wenu,kama inanipasa kwenda sehemu kupata mafunzo hata kama ni private kwa faida yangu ama ya nchi pia.
Wataalam wa nyota na kutafsiri ndoto nawakaribisha pia..
Hii hali imepelekea kutamani kufanya hizo kazi.
Polisi tena,sawa lakini.nenda karibu na kituo cha police kilicho karibu na wewe,watakuelekeza
Hujui yule mwanadiplomasia na waziri wa masuala ya kigeni si ndiye mtaalam pekee aliyebaki. inavyosemakana lakini.Swali la kipuuzi
Haina haja ya kumjibu huyu mbwigila
Si ukajiunge na jeshi ,kwani kuna sniper mwanasiasa,daktari au mcheza mpira si moja ya division ya jeshi .
Aaah
Vp bado hamjamaliza kuvuna korosho huko Tandahimba. Nasikia mmekunywa uji wa muhogo usiku wa manane mkiwa mmesimama mlangoni.Tungua hata Mabibo mkuu
Kibiti ntaenda nikiwa nimeshavuzu mkuu. Yule sniper aka Silencer wa kule anaweza niwahi.nenda KIBITI
Una shangaa?
Kwenye uwindaji wa ndege Kwa kutumia manati kati ya ndege kumi unaowalenga unawapata wote?
Kama jibu ni ndiyo basi nenda JKT kwa kujitolea na uoneshe huo ujuzi wako, moja kwa moja hutaachwa.