mhemeavisogo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2014
- 345
- 201
Magufuri akiwa Rais huenda akakuteua kuwa Waziri mkuu wake, Endelea kunusa makufuli.
hii thread iliniachaga hoi
.inaonyesha unaipenda sana papuchi.ila kuna siku utaanza tembea na kiberiti unanusa
hilo nitatizo ilitakiwa uzaliwe mbuzi beberu maana ndo tabia zao kunusa
Nilichogundua ni kwamba huko milembe wanapelekwa wazima ili hali wendawazimu wanaachwa mitaani...