Napenda kumuudhi kwa makusudi

Napenda kumuudhi kwa makusudi

Habari wakuu
Nina tabia ya kumuudhi mama watoto wangu yaani hii Tabia nimeanza tangu muda mrefu naanzia haka kamchezo, ilikuwa lazima nikikutana na girlfriend wangu nimuudhi, yaani nitamchokoza mpaka akasirike, hapo nitafurahi

Mpaka sasa hii tabia ninayo yaani shemeji yenu asipokasirika siriziki hata kidogo, me napenda akasirike tena nimkasirishe Mimi mwenyewe, ili nimbembeleze, mwanamke akikasirika Raha, tena umpate mwanamke wa pwani, akikasirika ataongea weee, hadi raha,

Hii tabia inapelekea mademu wangu wengi wananikumbuka na kudai wamenimiss sana kisa tu nikikutana nao nawaudhi kwa makusudi, je hili ni tatizo
Mpaka siku umpoteze mtu muhimu ndio utajua kama ni tatizo au laa
 
Habari wakuu
Nina tabia ya kumuudhi mama watoto wangu yaani hii Tabia nimeanza tangu muda mrefu naanzia haka kamchezo, ilikuwa lazima nikikutana na girlfriend wangu nimuudhi, yaani nitamchokoza mpaka akasirike, hapo nitafurahi

Mpaka sasa hii tabia ninayo yaani shemeji yenu asipokasirika siriziki hata kidogo, me napenda akasirike tena nimkasirishe Mimi mwenyewe, ili nimbembeleze, mwanamke akikasirika Raha, tena umpate mwanamke wa pwani, akikasirika ataongea weee, hadi raha,

Hii tabia inapelekea mademu wangu wengi wananikumbuka na kudai wamenimiss sana kisa tu nikikutana nao nawaudhi kwa makusudi, je hili ni tatizo
Bro hiyo tabia mimi nilijaribu kuiacha nashkuru kdg imepungua coz huwa siwezi kukaa bila kumuudh mke wangu kasirike huwa sijisikii kabisa hata kwa wadogo zangu wa kike ila washanizoea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom