Napenda kumuudhi kwa makusudi

Napenda kumuudhi kwa makusudi

Haya mambo hayana formula Ni vile tuu mnavyofeel juu ya hayo mambo.....

Kikubwa Ni furaha.....kama inakuwa kero Basi punguza
Hapana Haiwi kero Maana wakati mwingine mpaka machozi yanamtoka

Sizonjemadawa
 
Wenzio wanakimbia nyumbani sababu ya mnuno kumbe we wapenda!!!! Haya bwanaaa, ni ngumu kuwaelewa wanaume
KWA me zaidi ya kupenda ndiyo starehe yangu ya kwanza



Sizonjemadawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom