Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,741
- 14,639
Mwizi Lowassa----- baba yake janeLipeni kodi nyie acheni wizi
Mwizi Lowassa----- baba yake janeLipeni kodi nyie acheni wizi
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema kuna changamoto kubwa ya biashara nyingi kufungwa na hili ni kutokana na Serikali kutotumia Wanataaluma katika kukusanya kodi.
Mafanikio yanayofurahiwa sasa kwenye mapato ni ya muda mfupi lakini itafika wakati hakutakuwa na cha kukusanya. Asema baadhi ya Wafanyabiashara wanatishwa kwa mashtaka ya Uhujumu #Uchumi hivyo huamua kufunga biashara.
Unakuta mkuu wa wilaya anakagua mashine za efd.
Nape kanena ukweli!
Kodi inatakiwa ukusanye kwa Nguvu wabongo hawaendi kwa barua utamaliza Rimu ya barua na hakuna kodi kubwa kodi nyingi ni adhabu watu wana default sheria za kodi
Nape sio ndege wala sio mnyama, huku ataka na kule ataka hivyo anauma na kupuliza hivyo mpaka siku watakapogundua itakuwa too late....Anazar Malema?Nape Bado anadukuduku hata msamaha alioomba ni kupisha shari
Kadri siku zinavyoenda hawaogopi tena maana wanajua ni muhula wake wa mwisho tena huenda bunge kwa sasa likambadilikia hamuwezi amini itafika kipindi watu wataanza kusifia bunge
Ishu ni mgomo /msimamo wa wabunge endapo watakuwa na msimamo wa upande mmoja hii itamsumbua sana
Namuunga mkono Nape na nitakuja na uzi kutoa ushahidi.
Kaa kimyaa utumie hizo barabara na Dawa hospitalini usiulize zinakotoka
Nibora hata hiyo baskeli ya miti tungejua tumepata chichote kitu! Zikeishia saundi tu ukijifanya unahoji sana wanakutafutia janga la kukupaHata guta hatujapata, tumepata baskel ya miti
Kwani wakiingia hawawezi badilika?Msimamo wautoe wapi wakati wameingia bungeni kwa maagizo ya rais?
Kwani wakiingia hawawezi badilika?
Kwa hiyo nione unaniingiza shimoni kisa umenibeba nitulie tuu hata nisifurukute miguuUkibebwa unabadilika vipi?
Quite correct,ndio maana hata kwenye makinikia tuliaminishwa Noah tukaambulia guta
Lipeni kodi nyie acheni wizi
Siyo kweli,wanaokusanya kodi wanataaluma kabisa,tatizo hawafanyi kazi kwa uhuru kulingana na taaluma zao wanafanya kazi kwa shinikizo la mtu mmoja.