Kodi za TRA kubambika: Wabunge wa CCM mmefanya kweli, mmeleta matumaini katetea wafanyabiashara!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,302
24,142
Nimewasikiliza katika nyakati tofauti wabunge toka sehemu mbali mbali nchini Tanzania na nimewakubali.

Wabunge Nape, Kanyasu, Msukuma na hata yule mbunge wa viti maalum kwa kweli wamenikosha.

Serikali siyo kwamba hawajui kinachofanyika huko mitaani, ila wanafumba macho ili wawakamue na kuwafilisi wafanya biashara kwa malengo ya kodi zisizoendelevu.

Kodi ni taaluma na sio maguvu.
Task forces zinaingia ofisini kwa mfanya biashra , humo kuna afisa Usalama wa tAifa, polisi , na mtu wa TRA.
Kazi yao ni moja tu -kumfilisi mfayabiashara.

Hilo liko wazi na sasa limeenda mbali zaidi, mfanya biashara kutishiwa UHUJUMU UCHUMI asipotoa pesa kwa serikali!
WHATS THIS?

Serikali ina condone state robbery?

Nawashukuru wabunge wetuwa CCM kwa ujasiri wa kuyasema hadharni, maana serikai haiwezi kukana kuna kuyajua yanayotendeka.
Nilitoa tahadhari mapema.

 
Ukweli ni kwamba bunge kama likiamua kuwa huru na kufanya kazi yake, ni chombo chenye nguvu sana. Lakini bunge letu limekabidhi madaraka yake kwa serikali, halafu wanalalamika. Kwani sheria za kodi anatunga nani?
 
Kwani hapo bungeni hawajaajiriwa?!

Hawalipwi mshahara?

Wana tofauti gani na akina Esther Bulaya?
Kitu kama hukijui ni vema kukaa kimya.
Watu wengine wanaonekana wana akili lakini wakifungua mdomo tu, ndio unajua kwamba mtu hana kitu kichwani.

Some people live from paycheck to paycheck, with a very parochial view on business.
Hawajui biashara kuwa ili kuwa sustaiable kuna capital, operating capital,overheads, profit, statutory taxes, payroll taxes na company taxes duties levies na hata contributions to societies.
Mambumbumbu kama mtoa hoja wewe unafikiri kila mfanyabiashara ni mtoro wa kodi.

Kwa elimu na uelewa mdogo unaliganisha kipato cha mbunge na biashara, pathetic!
Sidhani kama nitataka kukurudisha darasa langu la biashara.
 
Hahahahah

Kwa hiyo sasa Taifa zima tunakubaliana turudi enzi za 'kucheka cheka'na Wafanyabiashara?

Mliwaona kina Jakaya Na Che Nkapa hawana akili ku deal na Wafanyabiashara kwa njia za kidiplomasia

TRA imegeuzwa Lugalo ndogo tutie adabu
 
Hahahahah

Kwa hiyo sasa Taifa zima tunakubaliana turudi enzi za 'kucheka cheka'na Wafanyabiashara?

Mliwaona kina Jakaya Na Che Nkapa hawana akili ku deal na Wafanyabiashara kwa njia za kidiplomasia

TRA imegeuzwa Lugalo ndogo tutie adabu
Si kucheka cheka na mtu mkuu!
TRA sasa hivi wanacheka cheka na mashelf matupu nna mageti, magodown yaliyofilisika!!
Hapo ndo tunaelewa kwa nini maendeleo hayana vyama!
 
Kitu kama hukijui ni vema kukaa kimya.
Watu wengine wanaonekana wan kili lkini wakifungua mdomo tu, ndio unajua kwamba mtu hana kitu kichwani.

Some people live from paycheck to paycheck, with a very parochial view on business.
Hawajui biashara kuwa ili kuwa sustaiable kuna capital, operating capital,overheads, profit, statutory taxes, payroll taxes na company taxes duties levies na hata contributions to societies.
Mambumbumbu kama toa hoja wewe unafikiri kila mfanyabiashara ni mtoro wa kodi.

Kwa elimu na uelewa mdogo unaliganisha kipato cha mbunge na biashra.
Sidhani kama nitataka kukurudisha darasa langu la biashara.
Kwa kifupi Mwijage, Nape na Musukuma ni waajiriwa wanaolipwa mshahara na serikali.

Boss wao ni Job Ndugai

Mwisho wa mwezi wanachungulia mshahara benk kama watumishi wengine tu wafagizi, madereva na wahudumu!
 
Jakaya siku anakabidhi Chama 2016, alisema

'…Ni vizuri kumyonyoa manyoya ndege wetu kwa faida yetu…ila tusipokuwa makini tutamnyonyoa hadi yale Manyoya yanayomuwezesha kuruka na hivyo atapoteza sifa ya kuitwa Ndege…'

Wafanyabiashara wa Meza Kuu kina Kinana wakati huo walielewa na kuashiria kukubali kwa kutikisa kichwa juu chini…sie Wazalendo Wanyonge wasema kweli tulipuuza kwa kuwa tangu tuingie Duniani hatujawahi kufanya biashara yoyote hata ya kuuza 'siso' au kuokota machupa ya maji yaliyotumika

Si kucheka cheka na mtu mkuu!
TRA sasa hivi wanacheka cheka na mashelf matupu nna mageti, magodown yaliyofilisika!!
Hapo ndo tunaelewa kwa nini maendeleo hayana vyama!
 
Jakaya siku anakabidhi Chama 2016, alisema '…Ni vizuri kumyonyoa manyoya ndege wetu…ila tusikuwa makini tutamnyonyoa hadi yale Manyoya yanayomuwezesha kuruka na hivyo atapoteza sifa ya kuitwa Ndege…'

Tulipiga makofi kama yale ya Ndugai
Mkuu siyo siri, kwa adha ya kunyanyaswa na hizo TRA Task Forces na kutishiwa uhujumu uchumi, kuliko ku endure stress wengi wamefunga biashara, tena kihalali, Formal Business closure.

Kwa wale wafanya biashara wakubwa wamehamia Zambia, Rwanda Kenya na Uganda na hata Malawi ambako hakuna harassments za watu wa kodi huko.
Tuna wapa faida tu majirani zetu.
 
Kuna siku nilikuwa na shughuli ya 'Hakika' Nyumbani kwangu, nikaingia Kariakoo kununua Mabusati kwa Mpemba ambae anaonekana ni mfanyabiashara wa wastani tu

Maskini ya Mungu siku hiyo kukawa na tatizo la Umeme sehemu kubwa ya Kariakoo mashine yake ya Efd ikazima

Alikataa kuniuzia yale Mabusati japo yeye alihitaji kuuza, nami nilihitaji kununua, kikwazo kikawa Umeme wa Serikali na Machine za Serikali
Mkuu siyo siri, kwa adha ya kunyanyaswa na hizo Task Forces na kutishiwa uhujumu uchumi, kuliko ku endure stress wengi wamefunga biashara, tena kihalali, Formal Business closure.

Kwa wale wafanya biashara wakubwa wamehamia Zambia, Rwanda Kenya na Uganda na hata Malawi ambako hakuna harrassments za watu wa kodi huko.
Tuna wapa faida tu majirani zetu.
 
Kuna siku nilikuwa na shughuli ya 'Hakika' Nyumbani kwangu, nikaingia Kariakoo kununua Mabusati kwa Mpemba ambae anaonekana ni mfanyabiashara wa wastani tu

Maskini ya Mungu siku hiyo kukawa na tatizo la Umeme sehemu kubwa ya Kariakoo mashine yake ya Efd ikazima

Alikataa kuniuzia yale Mabusati japo yeye alihitaji kuuza, nami nilihitaji kununua, kikwazo kikawa Umeme wa Serikali na Machine za Serikali
Mashine ya EFD haihitaji umeme ili kutoa risiti, labda useme lingine
 
Back
Top Bottom