Nape si mzima!!

Nape si mzima!!

Nape sijaona kosa lake yeye ni mtu wa Propaganda na ndio kazi yake, akikaa kimya mnashangilia mkijibiwa mnakuja juu, ni mara ngapi tunaona mitusi ya ajabu humu ndani na haijibiwi? Nape ndio saizi ya wale wote wanaopenda NDOTO za Ikulu wakati hawajui na wao huko nyuma wana matatizo
 
Nape hebu mwige Mnyika anavyotenga hoja za kulisaidia taifa sasa unahama kwenye uenezi wa chama unaanza umbea na unafiki ndivyo unataka ziwe siasa za chama unatuabisha vijana kama vijana ukiheshimiwa na chama na rais ukapewa nafasi ndivyo haya heri wazee waendelee.
We unadhani jk alivyosema muwe mnajibu na akakusifu unasema amekupa nafasi ya kuandika upuzi na vioja unajidhalilisha.
heri uombe likizo isiyokuwa hata na malipo ukapumzike upate muda wa kutafakari changamoto za taifa nawe kama kijana unaonyesha njia gani kuzitatua pia ukasoma jinsi vijana wenzako mnyike, lema, lissu na zitto na wakina mde wanavyojibu hoja
 
mtoa mada naomba anisaidie jambo moja tu,anitajie kiongozi wa serikali au wa ccm ambaye huyaishi yale anayoyasema
 
Oh, Bumbo Klaat .......

 
Last edited by a moderator:
😱hwell: DEAR JF MEMBERS, NAPE MEANS THE BACK OF THE NECK AND HE SHALL ALWAYS BE THAT WAY BEING BACK ALL THE TIME. HE NEVER RUMINATES OF WHAT HE SAYS, BUT HE WILL UNDERSTAND WHEN HE BITES THE DUST. IF CHADEMA PREPARES A TOOTHSOME MEAL NAPE WILL IN THE SPACE OF TWO MINUTES COME ON THE TABLE READY TO ERECT HIS STOMACH MUSCLES. I AM SO HAMMED AND HAWED TO RE-SIZE NAPE ANYHOW. HE INHERITED THE BAFOON'S MINDSET. TO LISTEN TO NAPE REQUIRES A MAN LIKE THE UNDERTAKER. UNDERTAKER IS PERSON SPECIALIZED IN WASHING THE DEAD IN MORTUARY. NAPE CANNOT MAKE THREE SENTENCES IN ENGLISH WITHOUT GRAMMATICAL MISTAKES.
 
"Wengi wa wapiga kelele za ufisadi ni mafisadi watarajiwa sena hawajapata nafasi"hapa panawazungumzia sana Zitto Babu na Dj Mbowe
 
Nape, assuming unatuambia kuwa unahusisha uongozi na uadilifu wa mtu kwenye mahusiano ya mapenzi
Naomba uje hapa unijibu yafuatayo:
1. Mwenyekiti wa umoja wenu wa wanawake ana mume (au alishakuwa na waume wangapi)?

2. Mwenyekiti wenu kazaa na wanawake wangapi?
 
Msumari huo,nape yupo vizuri cha msingi ni kujibu hoja je ingekiwa zitto ingekuwa vipi ? Na je kauli ya padr mzinifu kwamba kuwa na kadi ya ccm ni laana nayo mnasemaje ? Na je kuwaadaa wenzakevwarudishe kadi za ccm wakati yeye bado anaitunza siyo unafiki ?

Hapo umesema vizuri kuhusu zitto kwa kuwa hadi sasa ni mamluki wa ccm na jeykey wake. Kutokana na matendo yake zitto lisingemtoka kwa kuwa yeye kimatendo yupo ccm ila kwa kadi yupo chadema. Dr slaa ''kwa kadi yupo ccm'' (if could be possible) lakini matendo na itikadi yupo chadema. Kati ya hao wawili yupi bora katika chadema?
 
Hivi kuna tofauti gani kati ya pumba za T. Hiza na hizi pumba za Nepi Nnauye?
.
 
Kweli Nape wewe sio mzima. Sasa utafanyaje?

nape ajifunze majukumu yake ya uenezi sio kubishana na hoja za kitoto. hayo aliyaweza makamba mzee kwa sababu yeye ni mzee, vijana ni kwa hoja.mfano kwanini ji bu kwasababu. utakuwa vuvuzera na wakakutenga wenzako. hongera kwa kupatana na lowassa sasa. nadhani sera ya ufisadi imekufa sasa tatizo la nchi ni chadema hasa slaa ndiye anayewanyima usingizi ndio maana muda wote muna mjadili
 
Nape bigup bigup bigup ndoto zao za kuingia magogoni zinazidi kuota mbawa, wanajidai ati ni watetezi wa watanganyika, wabaguzi hao nyambafu!! wao wakiingia na njaa zao si ndo watatukausha damu kabisa.
 
Ukisoma haya maneno inabidi uwe na AKILI ZA MAITI

KAMA SISI WASHABIKI NA WAPENZI WA CCM TUNAONA HATUNA VIONGOZI
 
Msumari huo,nape yupo vizuri cha msingi ni kujibu hoja je ingekiwa zitto ingekuwa vipi ? Na je kauli ya padr mzinifu kwamba kuwa na kadi ya ccm ni laana nayo mnasemaje ? Na je kuwaadaa wenzakevwarudishe kadi za ccm wakati yeye bado anaitunza siyo unafiki ?
Nadhani si unafiki ila ana mkakati wa kukusanya nyingi iwezekanavyo kwa kumbukumbu na yake ikiwa moja wapo. Huenda mmeshahisi mpango wake sasa mmeshtuka nini?
Ni upuuzi kulinganisha mwanachama kubakia na kadi ya chama cha zamani na mtu kuhama ofisi akaondoka na funduo za ofisi. Mtu mwenye akili timamu hawezi linganisha mambo hayo hayafanani kabisa. Unapoacha kazi unaweza baki na kitambulisho, hilo unaweza linganisha.
Hapa imeshakuwa kuchamba kwingi kuondoka na .................
 
😱hwell: ........... NAPE CANNOT MAKE THREE SENTENCES IN ENGLISH WITHOUT GRAMMATICAL MISTAKES.
Na kiswahili hivyo hivyo? Kumbuka Nape ni mtanzania siyo mwingereza.

Halafu haya ya kupima upeo wa mtu kwa kuangalia uwezo wa kumudu kiingereza mmeutoa wapi ? Mengine waweza kuwa sawa lakini kwa suala la lugha sikuachii.
 
Nape Leo kwa mifano yako uliyotoa umeamua kujitangaza rasimi kuwa wewe ni fisadi, si ni wewe Nepi uluzunguka nchi nzima ukiwataka Mafisadi wajivue gamba, kumbe ili kuwa danganya toto ufisadi unautamani. Umejiunga rasimi kundini sasa kimya hakuna cha magamba tena. Vyema umeeneza sera ya ufisadi ndani ya ccm na serikali.
 
Msumari huo,nape yupo vizuri cha msingi ni kujibu hoja je ingekiwa zitto ingekuwa vipi ? Na je kauli ya padr mzinifu kwamba kuwa na kadi ya ccm ni laana nayo mnasemaje ? Na je kuwaadaa wenzakevwarudishe kadi za ccm wakati yeye bado anaitunza siyo unafiki ?
mkuu hata ingekuwa zitto kama hakulipia utetezi ungekuwa huohuo. Pia mkuu suala la uzinifu ccm ni zaidi,tumuulize nape na rostam ilikuwaje? Jk kwa nini amfunge Babu seya? Kwa unafiki ccm ndo wenyewe.
 
Nape,

Unaweza ukamwambia nape kwamba ni mjinga kwa sababu ya kusema ukweli pole sana, mkubwa lakini lazima ukubari kwamba babu ana makosa kuendelea kumilki kadi ya ccm lakini baado mnamtetea kwamba hana kosa basi kumbe hata kuitelekekeza famila yake hakufanya kosa lolote!
mkuu unaweza niambia maana ya kadi? Mimi nina Tshirt ya ccm,je mi ni mwana ccm? Mkuu usikurupuke!
 
Back
Top Bottom