OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,233
- 103,862
Tutaona na kusikia mengi sana hadi 40 ya mwendazake itimieNape Nnauye alikuwa mmoja kati ya panel iliyokuwa ikijadili mwelekeo wa serikali ya Rais Samia, akiwa pamoja na Dr. Marcus pale Azam Tv.
Nape alitakiwa kujibu shutuma ya Dr.Marcus kuwa yeye Nape ni moja ya watu waliokuwa mstari wa mbele kukandamiza upatikanaji wa habari kwa kuanzisha sheria ya vyombo vya habari na bunge live.
Nape amejibu kwamba lile lilikuwa jambo la bunge sio yeye. Akaongeza hata yeye angependa bunge liwe live ili wananchi waone mijadala ya wabunge.
My Take
Kumekucha ndugu msomaji,hii ni kabla jogoo hajawika
Katibu ni Kinana. Jiandaeni wenye chama chao wanarudiNape anaufukuzia ukatibu mkuu wa CCM!
Hizi panya zimeanza kubweka kila kona mpaka zinakera masikioAkiulizwa na Dr. Marcus Albanie kwenye kipindi cha channel ya UTV, kwamba kwanini asiombe radhi kwa wananchi kwa kushiriki kwake kuzui bunge Live. Mh. Nape amesema sio kosa lake, bali ni sheria za bunge na anatamani bunge lirushwe live ikiwemo kamati za bunge ambako ndo kuna mijadara mikaliView attachment 1743492
Kipindi kimerushwa lini hiki ?Akiulizwa na Dr. Marcus Albanie kwenye kipindi cha channel ya UTV, kwamba kwanini asiombe radhi kwa wananchi kwa kushiriki kwake kuzui bunge Live. Mh. Nape amesema sio kosa lake, bali ni sheria za bunge na anatamani bunge lirushwe live ikiwemo kamati za bunge ambako ndo kuna mijadara mikaliView attachment 1743492
Komredi Kinana alishastaafu sasa analetwa kijana aje amfundishe siasa Mnyika na Shaibu!Katibu ni Kinana. Jiandaeni wenye chama chao wanarudi
Unatabiri au una uhakika?Katibu ni Kinana. Jiandaeni wenye chama chao wanarudi
Mlinyanyasa Kinana lazima arudi kwanza alipe kisasi ndipo astaafuKomredi Kinana alishastaafu sasa analetwa kijana aje amfundishe siasa Mnyika na Shaibu!
NatabiriUnatabiri au una uhakika?
Ok mkuu. Ngoja tuone.Natabiri
Leo leo, kilianza saa 20:30 mpaka saa 21:30 channel ya UTVKipindi kimerushwa lini hiki ?