Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Miaka ya 2010 hadi 2015 bunge la JMT lilikuwa ni kivutio cha wananchi kulitazama.
Mara baada ya kuingia madarakani kwa utawala wa awamu ya tano wakalivuruga Bunge.
Kitendo cha kufunga bunge lisionyeshwe live ilikuwa ni pigo kubwa na ugonjwa mkubwa uliowafanya wananchi kulipuuza hilo Bunge.
Na hata baada ya kuruhusu bunge lionyeshwe live bado watu wameendelea kulisusia kulitazama.
Hakika kwa hili Jiwe na Nape mnalo jambo la kuwajibu wananchi kwanini mliamua kutufanyia uhuni huo.
Mara baada ya kuingia madarakani kwa utawala wa awamu ya tano wakalivuruga Bunge.
Kitendo cha kufunga bunge lisionyeshwe live ilikuwa ni pigo kubwa na ugonjwa mkubwa uliowafanya wananchi kulipuuza hilo Bunge.
Na hata baada ya kuruhusu bunge lionyeshwe live bado watu wameendelea kulisusia kulitazama.
Hakika kwa hili Jiwe na Nape mnalo jambo la kuwajibu wananchi kwanini mliamua kutufanyia uhuni huo.