Kama ameshagundua kwanini asiseme,kwani ni kosa kusema kwamba kundi fulani ndio wahusika wa tatizo hili ...........??'Hana tatizo na hao wasanii?'
hilo nalo ni tatizo wazir kuongozwa na mihemuko ya kishabiki
Bora uendelee kuota tu,maana usingekuwa usingizini usingeongea kwa kufuata mkumbo,ila ungeleta kipengere cha sheria/katiba kinachomkataza waziri ASITAJE KIKUNDI CHA WATU KINACHOPINGA JAMBO FULANI.Huyu namuona yuko nje ya baraza la mawaziri kabisaaa aanze kufanya clearance mapema.........Nimeota
Mihemko gani hapo iliyomuongoza waziri,au hiyo kutaja kuwa timu kiba ndio wanaopinga yeye kumpa bendera DIAMOND ???'Hana tatizo na hao wasanii?'
hilo nalo ni tatizo wazir kuongozwa na mihemuko ya kishabiki
Kwasababu kataja timu kiba ndio waliopinga kumpa bendera MOND ???Waziri wa Michezo ni sawa RAC na DC hauna kazi yoyote nikupeana ulaji tu wa kodi za wananchi
Punguza povu maana vitu vingine haviongezei taifa chochote zaidi ya kelele tuHuo ndio ukweli hata kama ni mchungu,sasa kama keshagudua kuwa wanaomshambulia yeye kwa kumpa bendera DIAMOND kina timu kiba kwanini asiseme ........ Kwani serikali inakatazwa kusema kwamba wanaoponda kitu fulani ni kikundi fulani ni kosa ........ Mbona serikali ilisema kuwa waliovunja viti vya uwanja wa taifa ni simba,mbona hakuna aliyesema serikali kwa sasa na wenyewe ni Yanga ........Na hata humu wanaomshambulia waziri kwa kauli yake ni timu kiba tunawajua,kisha mnakataa sio ndio mnaopinga bendera kupewa DIAMOND.Mbona Serikali huwa inasema kuwa waliofanya tukio fulani ni WAISLAMU,mbona hakuna anayesemaga kama serikali imekuwa ya kikristo .........Ila kwenye hili serikali imewakabili moja kwa moja watu fulani ndio wahusika wa hili tukio,imekuwa kosa......??
Yes,hiyo ni kauli ya waziri,maana yake ni kauli ya serikali,kuwa IMEGUNDUA TIMU KIBA NDIO WANAOPINGA KWA YEYE KUMKABIDHI BENDERA DIAMOND, NADHANI HAKUNA SWALI ???yaani hii ni kauli ya waziri yaani kauli ya serikali
Sipunguzi,na kama siiongezei taifa chochote KWANGU NDIO BURUDANI ZAIDI.Punguza povu maana vitu vingine haviongezei taifa chochote zaidi ya kelele tu
Kwani mkuu na wewe ulipinga DIAMOND kukabidhiwa bendera na waziri .............??Things speak by themselves.
Hahhaahh umenikoshaNi kauli ya Waziri hiyo na ukizidi kuhoji utajibiwa kwamba hapa "nimesema kama mwananchi tu na sio Waziri maana na mie nina haki binafsi ya kutoa maoni yangu"
Kwani kwa mfano hapo utahoji kipi kimfanye yeye kuukana uwaziri wake ......... Kwamba ni kosa KUSEMA KUWA TIMU KIBA NDIO WALIOPINGA DIAMOND KUKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA ??Ni kauli ya Waziri hiyo na ukizidi kuhoji utajibiwa kwamba hapa "nimesema kama mwananchi tu na sio Waziri maana na mie nina haki binafsi ya kutoa maoni yangu"