Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Status
Not open for further replies.
C7lUlC7VUAATGGC.jpg
 
Nape anajua na alijua kitakacho fuata,Mwigulu ajiandae na mwisho wa yote Makamba lazima atafuata.

Tupo katika kipindi kigumu na cha mpito,Serikali dhaifu hutumia ubabe katika kutawala,Mwisho wa yote wananchi huwa washindi.Leo Natambua kuwa kwanini tuliambiwa tukae kimya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom