Nape Nnauye, kujiuzulu ni uungwana


Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....

Hilo jibu ni kidhibitisho tosha kuwa akili nywele kila mtu ana zake.
 
Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....

Mkuu ungekuwa muungwana zaidi ukijibu hoja kwa hoja na si kwa vijembe!!!!!!!!!!!! Kumbuka kuna watu walikuwa convinced kubaki au kuhamia CCM na wewe binafsi. Sasa uongozi huwa haupimwi wakati kila kitu ni shwari. Uongozi unapimwa katika mazingira kama haya!!!! And I am sure kwa watu walio karibu na wewe na wasiopenda unafiki watakuwa wamekueleza kama ilivyo hoja kwenye thread hii.

I would have expected unganza kwa kusema say Sijiuzulu ng'o na sababu ni kama zifuatazo.......... Au say ukajibu hata kisiasa kwamba unaipima hoja iliyoko mezani. Lakini kwa vijembe yaani mnakuwa walewale kama akina Mzee Makamba. Kumbuka haya ni maandishi na itakuwa vema basi say hata miaka 20 ijayo uje kuwa proud of ur response na maandishi yako.
 
Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....
Matarajio ya watu kwako yalikuwa makubwa mno au hawakuwa wanakufahamu vizuri. Wanasahau mazingira unamofanyia kazi. Kwa baadhi yetu tulijua hili DUDE CCM la sasa hauna la kufanya angalau kwa sasa.
 
kweli ndugu kilichoongelewa hakipingiki lakini kwakuwa natamaa ya madaraka nape hawezi kuachia ngazi wezake wanamcheka maana anatumika vimbaya ndio matokeo ya kutojua au kutumiwa na watu wanaokufanya mjinga lakini wao wanajuana
 
Hakika Nape kanasa kwenye tope ambalo ni vijana wengi Wadanganyika wamenaswa maana wengi kutokana umasikini na kutokuwa na fikra pevu wamejiingiza kwenye lindi la kukubali kutumiwa na Wanyonyaji weusi tulionao nyakati hizi ambao mimi nawafananisha na Mbwa mwitu. Nape kama kweli alikuwa na nia ya dhati kutoka moyoni mwake kwa ajili ya kuikomboa nchi hii kutoka kwenye mikono ya wanyonyaji na wapiraji wetu sasa hivi angekuwa yuko nje ya Chama cha Magamba siku nyingi ni mara ngapi KT Makamba alimtukana lakini aling'ang'ania kwa sababu yeye pia siyo mtu anayejali utu wa mtu wala utu wake mwenyewe.

Kimtazamo ubnaweza kumuona ni kijana msomi, mpambanaji lakini kiundani ni walewale WANAFIKI WAKUBWA WANAOTUMIA UMASIKINI WA WATANZANIA KUJIIMARISHA WAO NA WATOTO WAO BILA KUJALI KIPI KINATOKEA KESHO. Ni mara ngapi tumeona na kusikia viongozi wetu vipofu waporaji wakibezwa, au kupingwa kwa yale wanayo yaamini lakini bado wapo madarakani mfano Pombe Magufuri mmmmh atamwachia nani tumbo?

Je unaweza kuionyesha jamii hii ya Watanzania kiongozi aliyebaki japo na utu toka chama hiki kikongwe chenye kila ghiriba, kilichojaa siasa za unafiki chuki na mambo mengi kedekede. Wote ni wanafiki wako kimaslahi zaidi.
 
Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....

Sidhani kama kuna mtu unamkosesha usingizi labda abnayekutumia maana akimaliza kukutumia anajisahau kwamba time zimeenda leo kakutenda hivi kesho anakutuma ulopokee nawe kwa vile uko kimaslahi kama chama chenyewe kilivyo kimaslahi zaidi. Kwa vile hujawahi kuwa na busara sisubiri wala siwazii kuwa unaweza tema donge lililopo mdomoni mwako ili iweje ushindwe kwenda choo mmmh, kwa faida ya nani na ili iweje??
Je kwani watanzania hatujui kuwa wahenga walisema Mtumikie kafiri upate ujira........ sindiyo nawe pia unatumika kama kopo kila aingiaye anatumia
 
<br />
<br />
...wewe uhatukoseshi usingizi coz sisi hatujalala na hatolala mpaka kieleweke...kama unauwezo wa kukosesha mtu usingizi basi anza na Wassira

Hana ubavu wa kuthubutu kambiwa ana kiburi jeuri asiye sikia na mengine mengi.................... yote hii ni njaa tu kama alivyo Wasira dume la nyani njaaaaa zinapoteza utu na umakini kweli njaa mbaya AISEEEE ULEVI NOMA HASA UKIWA WA MADARAKA
 
jamani ccm sasa chali mana hadi ma DC wanaacha kazi za taifa nakuingia kwenye siasa inamana mkapa hatoshi? Au mambo magumu huko Igunga jamani nisaidieni ndugu zangu mana me nipo nyuma ya pazia.
 
Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....
Nafikiri unatusaidia kukesha kwasababu hakuna atakayelala mpaka 2015 kitakapoeleweka.
Baada ya uchaguzi ntalalaaaaaa weeeeeee, ntalala ntalala ntalala, yani nakwambia ntalala...
 
Ilikuwa ni zamu ya Makamba, sasa tuna kihiyo mwingine Nape. Kwa style hii ccm itafika kweli?
 
Nyerere hakuwa **** kusema ccm sio baba yake wala mama yake ila nape yuko kimaslahi jamani hawezi kujiuzulu mpaka aongeze sheli za kumtosha labda na wala hana uwezo wa kiakili wa kuchambua ushauri wa chief jamani


Nape kunamaisha nje ya ccm,ingawa umeshachafuka tena zaidi ya Rostam,Chenge na Lowassa nashauri ujiengue mapema kabla hawaja kuvua ww. ujue hawakukutana barabarani,gamba ni wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…