Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa kijana uliyeonyesha uwezo wa kuwa mwanasiasa. [...] Kijana Nape najua unamatumaini makubwa sana ya kisiasa na kukwea ngazi kufikia ubunge, waziri hata juu zaidi. Ila kaka yangu ulipofikia sasa inabidi utumie busara na hekima kuamua. [..] ulienda mbali zaidi na kusema wana siku tisini lazima wajivue gamba au chama kitawavua magamba. [...] kauli hizi zilipingwa na Mukama mbele ya vyombo vya habari kuwa hakuna swala la siku tisini. [...] Kikao cha kamti kilichokaa juzi juzi inasemakana kilikupiga marufuku usihudhurie kampeni za Igunga kitu ambacho kwa tafsiri yangu nina amini kwani mpaka sasa hujahudhuria kampeni yeyote Igunga hata ile ya ufunguzi ikizingatiwe hapo ndio pangekuwa mahala pako. [...] ulikazwa usiende Igunga ili gamba mlilokuwa mnalipigia kelele liweze kuchukua nafasi yenu nyite kuwasaidia kushinda uchaguzi mliosema mnafukuza mafisadi wanaoharibu taswira ya chama mbele ya jamii. Je ni jamii ipi tena wakati hao hao ndio mnawahitaji mnapoona hamyawezi?????
Ndugu Nape ulisema chama ni zaidi ya mtu na mtu hawezi kuwa maarafu kuliko chama. je bado unaona vita vya kutoa magamba vipo? [...] Nape huoni wenzako wamekusaliti ....
Nape Nnauye kama mimi ningekuwa wewe ningejiuzulu wadhifa wangu huo kwani ni kazi ya kinafiki na isiyotekelezeka, kupewa maagizo ya kinafiki na majukumu ya uongo ni unafiki mkubwa sana. [...] wamejua huna jinsi ya kupata mkate wamekutumia kama dodoki sasa wanakucheka ujinga. Leo wanamhitaji Rostam kuliko wewe kesho watamhitaji Chenge Mwanza kuliko wewe kesho watamhitaji E lowasa Arusha kuliko wewe kesho kutwa watamhitaji Manji kuliko wewe, wewe utangojea kutumwa tu pale wasipotaka kuharibu urafiki wao. Hapo ndipo elimu na uelewa binafsi unapohitajika unapigania nini??
Mambo kama haya ndio chanzo cha vijana wengi makini kuamua kuachana na CCM na kujiunga na vyama vya upinzani. Ni heri kufa masikini na kulinda utu na uelewa wangu kuliko kudhalilisha utu wangu kwa kibaba cha mchele.
Kwa kumpandisha Gamba ambalo mnalia nalo na kukushusha wewe huhitaji miujiza mingine zaidi ya kujua unatumika kama kifuu.
Akili ni nyele kila mtu ana zake. Ukistaabu ya musa utaona ya firauni. Muungwana ni vitendo.
Viongozi makini hutoa maamuzi makini
Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....
Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....
Matarajio ya watu kwako yalikuwa makubwa mno au hawakuwa wanakufahamu vizuri. Wanasahau mazingira unamofanyia kazi. Kwa baadhi yetu tulijua hili DUDE CCM la sasa hauna la kufanya angalau kwa sasa.Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....
nape uongo ni mbaya ukiwa unadanganya watu ila ni mbaya zaidi unapojidanganya mwenyewe.Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....
<br />Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....
Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....
Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....
<br />
<br />
...wewe uhatukoseshi usingizi coz sisi hatujalala na hatolala mpaka kieleweke...kama unauwezo wa kukosesha mtu usingizi basi anza na Wassira
hamia hata cuf wewe eeh! Unaumbuka sasa.sikujua nakiri sikujua kama nawakosesha usingizi kiasi hichi....
POLE SANA KIJANA NAPE, JAKAYA NI ZAIDI YA UMUJUAVYO,KAMUULIZE LOWASA. Umeingizwa mkenge utaachwa kwenye Mabalubu.Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....
Jibu hoja dogo usilete mipasho huku JF. Huna uwezo wa kumkosesha usingizi mtu hapa.Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....
Hapo kwenye Red:Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi...
Nafikiri unatusaidia kukesha kwasababu hakuna atakayelala mpaka 2015 kitakapoeleweka.Sikujua NAKIRI SIKUJUA KAMA NAWAKOSESHA USINGizi kiasi hichi....
Nape kunamaisha nje ya ccm,ingawa umeshachafuka tena zaidi ya Rostam,Chenge na Lowassa nashauri ujiengue mapema kabla hawaja kuvua ww. ujue hawakukutana barabarani,gamba ni wewe.