Nape Nnauye abadilishwe Wizara haraka sana

jupiter001

Member
May 25, 2023
44
72
Waziri Nape Nnauye anaongoza kampeni za kuua Mamlaka ya serikali Mtandaoni (E-GA).

Syndicate inayoongozwa na Nape Nnauye imepanga kuitoa taasisi hii (E-GA) , toka utumishi iliyo chini ya ofisi ya Rais , na kuipeleka Wizara ya TEHAMA.

Lengo lililonyuma ya uamuzi huu ni katili sana, Nape anataka kulipa fadhila kwa wafadhili wake kwa kuwapa tenda za mifumo ya serikali marafiki zake wenye hisa kwenye makapuni ya TEHAMA ya nje na baadhi ndani ya nchi.

Nape amekua mstari wa mbele kuchinganisha viongozi wa E-GA ili waonekane hawako Productive na wanahitaji kusimamiwa na wizara yake.

Waziri Nape anamshinikiza Eng Kundo ambaye ni Naibu waziri wake wapeleke mswaada wa dharula kuihamishia wizara ya TEHAMA E-GA.

Nape Nnauye ni bora ahamishiwe itikadi na uenezi kwenye chama, akapige siasa sawasawa , lakini kwenye Uwaziri tena wa Wizara ya TEHAMA , ni suala la Muda tu, amekua kuwadi wa Makampuni binafsi na ya marafiki zake.

Ni aibu, narudia tena ni aibu sana unachokifanya Nape Nnauye.

Nasema tena ukiachana na suala la Kuua E-GA , acha kabisa mipango ya kumhujumu Magila Tech na kumframe awe kwenye mitanziko na watawala. Unasuka mipango ya kumdhuru kijana huyu kwa faida zako mwenyewe , please stop this madness
 
Kwani Engineer Kundo anasemaje? Mbona hajalalama? Au amekutuma?

Halafu kwann samaki mbovu aliyeoza ahamishiwe pakacha lingine?

Ujumbe umefika lakini!!!
 
Kwani Engineer Kundo anasemaje? Mbona hajalalama? Au amekutuma?

Halafu kwann samaki mbovu aliyeoza ahamishiwe pakacha lingine?

Ujumbe umefika lakini!!!
Eng Kundo ana mapungufu yake , lakini ni bora kuliko Nape , Nape ni kituko , anafanya mambo ya hatari sana , lakini kwenye public ana dsplay sympath, ni mhujumu mkubwa sana wa Mama Samia na anatumwa na watu wa hovyo sana
 
Nape apewe hata wizara nyingine , hii ya TEHAMA anaenda kuiangamiza , anacheza michezo ya hatari sana isiyo na tija kwa nchi
Kwani Kuna maccm mwenye akili hata 1? Nepi, Kipara, Awesu, n.k wote wanachota fadha za umma kama vile Yesu anafunga dunia kesho. Wasichokinua watakufa punde na kuviacha. LUPASO alichotoa hivyo hivyo yu wapi Leo zaidi ya kuchomwa moto?
 
Waziri Nape Nnauye anaongoza kampeni za kuua Mamlaka ya serikali Mtandaoni (E-GA).

Syndicate inayoongozwa na Nape Nnauye imepanga kuitoa taasisi hii (E-GA) , toka utumishi iliyo chini ya ofisi ya Rais , na kuipeleka Wizara ya TEHAMA.

Lengo lililonyuma ya uamuzi huu ni katili sana, Nape anataka kulipa fadhila kwa wafadhili wake kwa kuwapa tenda za mifumo ya serikali marafiki zake wenye hisa kwenye makapuni ya TEHAMA ya nje na baadhi ndani ya nchi.

Nape amekua mstari wa mbele kuchinganisha viongozi wa E-GA ili waonekane hawako Productive na wanahitaji kusimamiwa na wizara yake.

Waziri Nape anamshinikiza Eng Kundo ambaye ni Naibu waziri wake wapeleke mswaada wa dharula kuihamishia wizara ya TEHAMA E-GA.

Nape Nnauye ni bora ahamishiwe itikadi na uenezi kwenye chama, akapige siasa sawasawa , lakini kwenye Uwaziri tena wa Wizara ya TEHAMA , ni suala la Muda tu, amekua kuwadi wa Makampuni binafsi na ya marafiki zake.

Ni aibu, narudia tena ni aibu sana unachokifanya Nape Nnauye.

Nasema tena ukiachana na suala la Kuua E-GA , acha kabisa mipango ya kumhujumu Magila Tech na kumframe awe kwenye mitanziko na watawala. Unasuka mipango ya kumdhuru kijana huyu kwa faida zako mwenyewe , please stop this madness
Form Four Failure anapewa Wizara? Hii serikali ya kitapeli ya CCM hovyo sana
 
Eng Kundo ana mapungufu yake , lakini ni bora kuliko Nape , Nape ni kituko , anafanya mambo ya hatari sana , lakini kwenye public ana dsplay sympath, ni mhujumu mkubwa sana wa Mama Samia na anatumwa na watu wa hovyo sana
Anatumiwa na akina airtel voda na tigo
 
Mambo ya ajabu kabisa. Ni kweli tenda nyingi za kuunda na ku maintain mifumo ya TEHAMA zimekufa kwakuwa eGA wanafanya kazi nzuri. Nchi hii wachawi wa maendeleo yetu tunawajua lakini hatuna cha kuwafanya.

Na kuna mtu amekimaa na 'mifumo haisimamii pale bandarini ' wakati sio kweli. Maandalizi haya ya watu kupata tenda za kuunda 'mifumo', watatega na mirija ya kuiba humohumo.

RIP JPM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom