only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Katibu mwenezi wa CCM Nape Nnauye ameibuka na madai mazito akiwa kwenye mikutano ya chama chake kanda ya ziwa kwa kusema kuwa kuna watu wanataka kumuua kwasababu ya msimamo wake aliouita thabiti wa kupambana na ufisadi ndani ya chama uliopewa jina la kujivua gamba.
Nape aliendelea kusema anawafahamu hao watu na akasema hawezi kurudi nyuma kamwe, aliendelea kusema kuna watu wanamtafuta kwa hali na mali ili kummaliza kabisa na kumtoa katika dunia kwa kutumia pesa zao,na akasema ana hakika Mungu yupo pamoja nae na ataendelea na mapambano maana hata YESU alipoingia Yerusalem kwa mara ya kwanza alikuta watu wakifanya biashara kwenye hekalu na akachukua hatua ya kusafisha hekalu kwa nguvu.
Muono wangu:
Ni kutafuta umaarufu wa kijinga...
Nape aliendelea kusema anawafahamu hao watu na akasema hawezi kurudi nyuma kamwe, aliendelea kusema kuna watu wanamtafuta kwa hali na mali ili kummaliza kabisa na kumtoa katika dunia kwa kutumia pesa zao,na akasema ana hakika Mungu yupo pamoja nae na ataendelea na mapambano maana hata YESU alipoingia Yerusalem kwa mara ya kwanza alikuta watu wakifanya biashara kwenye hekalu na akachukua hatua ya kusafisha hekalu kwa nguvu.
Muono wangu:
Ni kutafuta umaarufu wa kijinga...