Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,717
- 6,051
Ungejua ukweli usingekuwa unahangaika kuwa mpinzani wala CCM enzi hizi.Hayo ni mawazo yako ila ukweli ndiyo huo
In God we Trust
Ungejua ukweli usingekuwa unahangaika kuwa mpinzani wala CCM enzi hizi.Hayo ni mawazo yako ila ukweli ndiyo huo
In God we Trust
Ungejua ukweli usingekuwa unahangaika kuwa mpinzani wala CCM enzi hizi.
akijibu nitag
tumia akili wewe bos ndio kaamua so lazima uheshimu msimamo wake kama unatakai will never forgive or forget Nape...kamwee anatakiwa avuliwe kila kitu na afilisiwe kama vipi maana haya yote kaleta yeye tena aliyaleta kwa dharua kubwa akijua yeye yuko juu ya kila kitu
Kwahiyo tuendelee kumkazia mpaka tujiridhishe Kama kweli amebadilika mkuu?
Tumemsamehe mkuu!
Ni kweli aliyofanya mazuri Ni mengi kuliko hilo baya moja(bunge live)
Walikuwa wote singida kipindi hicho!Kumtaja Mzee Nnauye na Mwandosya kwa wakati mmoja kuna maana gani
Endelea kuota!Mwaka 2020 itakuwa ni pigo kuu ndani ya ccm kama lilivyotokea kwa upc na kanu
In God we Trust
Kama hujui wacha kujijengea ujinga kwenye kichwa kwa kumezeshwa ujinga na hao wap;,uuzi wenzako.
Endelea kuota!
Nitakukumbusha tena 30/10/2020 mkuu!!Mnaota nyinyi wapiga zumari wa Jiwe na chakubanga
In God we Trust
Vipi nasikia korosho sasa bei ni sh 2600?Nitakukumbusha tena 30/10/2020 mkuu!!
Huko tulishatoka baada ya kuwanyoosha Kangomba kama wewe! Sasa tunanyosha wengine huku mkuu!!Vipi nasikia korosho sasa bei ni sh 2600?
In God we Trust
Huko tulishatoka baada ya kuwanyoosha Kangomba kama wewe! Sasa tunanyosha wengine huku mkuu!!
Huko tulishatoka baada ya kuwanyoosha Kangomba kama wewe! Sasa tunanyosha wengine huku mkuu!!