Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,242
Kuna taarifa kua Nape nnnayuye atatoa list ya mafisadi ndani ya chadema,..
naomba mwenye updates atupatie huko aliko,...
update:
inasemekana kumbe alicho ongelea chenyewe ni kile kile cha siku zote,...
huyu mkuu atatueleza zaidi kilicho jili
na huyu anareport hivi:
Huyu ndio msemaji wa CCM au kuna mwingine tumngoje?
naomba mwenye updates atupatie huko aliko,...
update:
inasemekana kumbe alicho ongelea chenyewe ni kile kile cha siku zote,...
huyu mkuu atatueleza zaidi kilicho jili
Kaongelea hayo hayo maununuz wa magar chakavu na mshahara mil.7.wa dr.slaa
na huyu anareport hivi:
Amesema tu kwamba mshahara wa dk. Slaa ni ufisadi kwa sababu ni mkubwa. Pia kwamba CDM wanatumia fedha nyingi kwenye maandamano ambazo zingesaidia kuwaondolea wananchi umasikini
Huyu ndio msemaji wa CCM au kuna mwingine tumngoje?