Nape mnafiki? Sasa amsifu Rostam hadharani huko Igunga

Nape mnafiki? Sasa amsifu Rostam hadharani huko Igunga

Nape hawezi siasa analazimisha tu ila hana talenti ya siasa; yeye kazi yake ni kuongea tu hata kama anachokiongea hakina uhakika ili mradi yawe ni maslahi ya chama na si nchi.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Nimesoma hoja inayodaiwa eti ni unafiki wangu kwa kusema kuwa yapo mazuri yaliyofanywa na Rostam Igunga kwa kipindi chake cha Ubunge... Hii imenishangaza sana... Waswahili wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! Hivi tunataka kuaminisha watu kuwa Rostam hakufanya chochote kwa kipindi chote cha Ubunge wake Igunga?? Kama kafanya hata kama ni kidogo KUSEMA UKWELI NI UNAFIKI? MI NADHANI TUWE OBJECTIVE VINGINEVYO mhhh...

kwanini mlimvua gamba Rostam katika chama chenu ? ..... ni wazi kabisa rostam alifanya hayo mazuri ili kuwapambaza watanzania wazalendo ili aweze kuchota na kuiba mali ya nchi hii na kuweza kuiweka serekali ya chama tawala katika viganja vya mikono yake

compare and contrast alichovuna Rostam na maendeleo ya wana igunga .... unaweza ukalia machozi ...... hapo ndipo ninapoona siku zote Nape huwa ni mweupe wa hoja

nilishakushauri utafute consultant wa mambo ya uchambuzi atukusaidia .... your analytical ability is at the plinth level

unless otherwise unajipendekeza kwa Rostam Aziz na Rostam anaweza akarudi ulingoni kwa kupitia kulipa fadhila unazozitaka kwa sasa

Nape .....you have proved beyond reasonable doubt that you are still practicing "gutter politics"
 
Nataka tujadili kwa kituo swala hili..... Hivi yale yaliyofanyika yeye akiwa Mbunge pale kafanya nani? Kuyasema aliyoyafanya ni sifa na unafiki? Hivi ni sahihi kusema hakufanya lolote jimboni wakati ukweli unajulikana kuwa yapo yaliyofanyika akiwa Mbunge?

PENGINE NITUMIE MFANO HUU MBAYA..... HIVI MTU AKIWA LABDA JAMBAZI( nasisitiza ni mfano tu) AKAWA NA MTOTO, ETI KISA MZAZI WAKE JAMBAZI BASI HAKUMZAA YULE MTOTO, WATU WAKISEMA YULE MTOTO WA FLANI NI SIFA NA UNAFIKI?
 
LAT,
Ukidhani umesimama, angalia usije anguka... Inawezekana ni kweli uwezo wangu mdogo sana, lakini aliyekupa wewe, ndiye aliyeninyima mimi... HONGERA ULIYEBARIKIWA KWA UWEZO MKUBWA



kwanini mlimvua gamba Rostam katika chama chenu ? ..... ni wazi kabisa rostam alifanya hayo mazuri ili kuwapambaza watanzania wazalendo ili aweze kuchota na kuiba mali ya nchi hii na kuweza kuiweka serekali ya chama tawala katika viganja vya mikono yake<br />
<br />
compare and contrast alichovuna Rostam na maendeleo ya wana igunga .... unaweza ukalia machozi ...... hapo ndipo ninapoona siku zote Nape huwa ni mweupe wa hoja<br />
<br />
nilishakushauri utafute consultant wa mambo ya uchambuzi atukusaidia .... your analytical ability is at the plinth level<br />
<br />
unless otherwise unajipendekeza kwa Rostam Aziz na Rostam anaweza akarudi ulingoni kwa kupitia kulipa fadhila unazozitaka kwa sasa<br />
<br />
Nape .....you have proved beyond reasonable doubt that you are still practicing &quot;gutter politics&quot;
<br />
<br />
 
Acha ajichanganye kwani anafikiri watu hawajui kinachoendelea nayeye ndio alikuwa anampiga vita rostam
 
Kweli mkuu wa ni Mtu Sahihi wa Propaganda Unang'ata huku unapuliza... Gaddafi yalimkuta akawaita rebels ni Rats
 
Nape, msome LAT vizuri hapo juu bila jazba or hard feelings, kakushauri kitaalamu (kautoa bure pamoja na kwamba unapaswa kulipiwa).
Umepiga kelele mara nyingi kwamba hakuna aliye maarufu kuliko chama chenu, jee hii ni kweli kwenye suala la ubunge wa Igunga? Be honest to yourself young man, si kweli Rostam ni maarufu kuliko chama?
 
Nataka tujadili kwa kituo swala hili..... Hivi yale yaliyofanyika yeye akiwa Mbunge pale kafanya nani? Kuyasema aliyoyafanya ni sifa na unafiki? Hivi ni sahihi kusema hakufanya lolote jimboni wakati ukweli unajulikana kuwa yapo yaliyofanyika akiwa Mbunge? PENGINE NITUMIE MFANO HUU MBAYA..... HIVI MTU AKIWA LABDA JAMBAZI( nasisitiza ni mfano tu) AKAWA NA MTOTO, ETI KISA MZAZI WAKE JAMBAZI BASI HAKUMZAA YULE MTOTO, WATU WAKISEMA YULE MTOTO WA FLANI NI SIFA NA UNAFIKI?
Nape,
Hayo mema alioyafanya Rostam kayafanya kwa hela aliotuibia WATANZANIA tena sehemu ndogo tu ya kiasi alichotuibia. Anastahili pongezi kwa mchezo huu wa money laundering kweli? Usitufanye mazuzu bwana! Kama ni kura za Igunga kubalini mzikose ikiwa nia yenu kweli ni kujivua magamba. Ninavyowafahamu ninyi CCM mapesa kama haya ya Rostam ndio yaliyowapa hii serikali yenu ya sasa. Hamuwezi kuyakataa leo.
 
Hapo sioni Unafiki wowote!
Rostam aliamua kuwa Accoutable (ni watanzania wachache sana wanaoweza kuachia madaraka-Oly Rostam & Lowasa hav done that)
Alifanya mambo mengi sana Igunga na kila mwana Igunga anayakubali- ndio maana tulishuhudia vilio siku ile alipokuwa anatangaza kung'atuka.
Kitendo cha Nape kumsifia kwa aliyoyafanya ni sahihi kabisa.
Ulitaka amponde kwa aliyowafanyia watu wa Igunga ambayo yanaonekana wazi wazi?
Wewe ulianzaisha hii thread ndio mnafiki mkubwa na hujui unalozungumza.
Wanafki hawatauona ufalme wa mbinguni, ebu niambie Nazir Karamagi na Msabaha walifukuzwa? vipi Mzee Mwinyi alipokuwa waziri wa mambo ya ndani! Je Idd Simba hakujiuzulu uwaziri wa viwanda na biashara? Unamkumbuka Prof Mbilinyi wewe?
Sitoongea mengi maana humu JF hakuna kipengere cha mtu kupimwa akili kabla ya kuwa Member, ninachoweza kusema ni pole sana. poor mind.
 
Nataka tujadili kwa kituo swala hili..... Hivi yale yaliyofanyika yeye akiwa Mbunge pale kafanya nani? Kuyasema aliyoyafanya ni sifa na unafiki? Hivi ni sahihi kusema hakufanya lolote jimboni wakati ukweli unajulikana kuwa yapo yaliyofanyika akiwa Mbunge? PENGINE NITUMIE MFANO HUU MBAYA..... HIVI MTU AKIWA LABDA JAMBAZI( nasisitiza ni mfano tu) AKAWA NA MTOTO, ETI KISA MZAZI WAKE JAMBAZI BASI HAKUMZAA YULE MTOTO, WATU WAKISEMA YULE MTOTO WA FLANI NI SIFA NA UNAFIKI?
Sina uhakika kama mfano ulioutoa unaendana na hiki kinachojadiliwa hapa. Nape acha kujitetea na ukubali kwamba CCM ni wanafiki na siku zote mmekuwa hamsimamii mnachokiamini, kiini-macho cha vua gamba kinawatokea puani sasa, mnaonekana huwa mnafanya maamuzi ambayo hamjui likitokea hili mtafanyaje, ur not strategic.
 
Sina uhakika kama mfano ulioutoa unaendana na hiki kinachojadiliwa hapa. Nape acha kujitetea na ukubali kwamba CCM ni wanafiki na siku zote mmekuwa hamsimamii mnachokiamini, kiini-macho cha vua gamba kinawatokea puani sasa, mnaonekana huwa mnafanya maamuzi ambayo hamjui likitokea hili mtafanyaje, ur not strategic.
Katoa mfano wa hovyo kabisa. Labda angesema hivi: Jambazi anapotoa sadaka kanisani inapokelewa?
 
Nataka tujadili kwa kituo swala hili..... Hivi yale yaliyofanyika yeye akiwa Mbunge pale kafanya nani? Kuyasema aliyoyafanya ni sifa na unafiki? Hivi ni sahihi kusema hakufanya lolote jimboni wakati ukweli unajulikana kuwa yapo yaliyofanyika akiwa Mbunge? PENGINE NITUMIE MFANO HUU MBAYA..... HIVI MTU AKIWA LABDA JAMBAZI( nasisitiza ni mfano tu) AKAWA NA MTOTO, ETI KISA MZAZI WAKE JAMBAZI BASI HAKUMZAA YULE MTOTO, WATU WAKISEMA YULE MTOTO WA FLANI NI SIFA NA UNAFIKI?
<br />
<br />

<br />


wewe ndo umemtoa R.A kwenye kit chake, sawa, tukaanza kuhsi kuw kweli unapambana na mafisadi!!
Eti leo kwa7bu kuna uchaguzi unaanza kumsifia, kwann ulikuw humsifii wakt ukisema wajivue gamba? Acha kuwakaanga wa Tanzania, Mwogope MUNGU!!
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Nimesoma hoja inayodaiwa eti ni unafiki wangu kwa kusema kuwa yapo mazuri yaliyofanywa na Rostam Igunga kwa kipindi chake cha Ubunge... Hii imenishangaza sana... Waswahili wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! Hivi tunataka kuaminisha watu kuwa Rostam hakufanya chochote kwa kipindi chote cha Ubunge wake Igunga?? Kama kafanya hata kama ni kidogo KUSEMA UKWELI NI UNAFIKI? MI NADHANI TUWE OBJECTIVE VINGINEVYO mhhh...

Bwana Nnape na Chama chako cha Magamba acheni kutufanya Watanzania kama vile hatuna akili. Enzi zile za wakti babako Mosses Nnauye akiwa kwenye madaraka zimeshapita. Hamwezi kuendelea kuwafanya watu kuwa mazezeta na majuha wasiojua lolote.

Wewe kama Katibu mwenezi na Itikadi za CCM UMELAUMIWA NA KULALAMIKIWA SANA NA HAO MNAOWAITA MAGAMBA aka MAPACHA 3. Siku ile Rostam Azizi anatangaza kujifua nyazifa zake zote ALISEMA WAZI KABISA KUWA WEWE NNAPE NA CHILIGATI NDIYO MMEFANYA YEYE AAMUA KUONDOKA CCM KWASABABU BAADA YA kikao cha CC WEWE NA CHILIGATI MLIANZA KUPIGA UVUVUZELA KUWA RA,EL na AC ni MAGAMBA NA WAMEPEWA 90 DAYS WAWE WAMEJITOA NDANI YA CHAMA NA WASIPOFANYA HIVO CHAMA KINGEWAFUKUZA.

Today is more than 90 days hakuna HATUA YOYOTE MLIYOCHUKUA DHIDI YA EDWARD LOWASSA NA ANDREW CHENGE. KWA WATANZANIA WENYE AKILI WANAONA KABISA HILO ZOEZI LENU LIME-PROVE FAILURE SANA SANA NI USANII NA UBABAISHAJI MAANA HALITEKELEZEKI. HII ILIDHIHIRIKA WAZI PALE ROSTAM ALIPOJIVUA NYAZIFA ZAKE ZOTE NDANI YA CCM NA MKAONYESHA WAZI KABISA KUWA MMETIKISIKA NA KUSHANGAZWA NA MAAMUZI YA ROSTAM AMBAYO HAMKUYATARAJIA. KWA HIYO MMEPIMA UPEPO MKAONA MADHARA YANAYOKUJA KAMA MTAENDELEA NA HIO ZOEZI LA KIPUUZI LA KUJIVUA MAGAMBA.

NDIYO MAANA MPAKA SASA LOWASSA NA CHENGE BADO WANADUNDA NA HAMTAWAFANYA LOLOTE. KAMA MNA UBAVU WA KUWAFUKUZA JARIBUNI MUONE MOTO WAKE, Nakuhakikishia mkiwafukuza hao jamaa 2 CCM itakufa kifo cha MENDE.

Kama unabisha jaribuni muone.
 
Jamani nape bora usingejibu hizi shutma maana ndo umeonesha udhaifu wako wzi. Lakini nape unatakiwa usome alama za nyakati na utambue watanzania sio wajinga kama unavyojidanganya,ulisha sema RA NI GAMBA IWEJE LEO UANZE KUMSIFIA eti kuna mazuri aliyofanya.

Yapi hayo, mbona wananchi wa Igunga ni maskini wa kutupwa labda wale waburushi na wasomali ndo wameletewa maendeleo. Wananchi wa igunga msiwape kula ccm ili wajifunze kuwa wtz sio wajinga tena
 
Nape Moses Nnauye ambaye siku za hivi karibuni alikuwa akipita huku na kule akiwananga mapacha watatu kwamba ni magamba, ndio yamechangia kuipa CCM ushindi mdogo, na kwamba lazima waondoke CCM. Moja ya magamba hayo ni Rostam Aziz.

Katika hatua inayoonyesha unafiki wa Nape na uongo wake uliotukuka wa kuwahadaa wananchi wa Igunga, Nape ameanza kumsifia Rostam Aziz huku akiomba watu wasimbeze kwa kuwa amefanya makubwa huko Igunga. Kwa mujibu wa gazeti la Mtanzania la leo, Nape amesema kazi aliyoifanya Rostam ndio kigezo cha ushindi wao huo Igunga.

Naomba watu wa Igunga msidanganyike tafadhali, huu uongo wa CCM wa kujipendekeza siku za uchaguzi unatakiwa ukataliwe kwa vitendo kwa kuwakataa huko Igunga. Nape anawafanya watanzania ni wajinga, kwamba anaweza kusema chochote leo na kesho akasema kingine na watu wakamsikiliza. Nape siasa za kuhadaa watu hazina nafasi kwenye dunia ya sasa, acha unafiki wako.
mwacheni bwana nape wa watu.yeye anataka chama chake kishinde na kama rostam alisaidia igunga hata kama aliwaibia lakini alikula na wa kwao kwa hiyo uthibitisho wa rostam kuwa mbaya tuone baada ya uchaguzi utakaofanyika huko.wananchi ndio waamuzi kwa ukweli wa NAPE
 
Jamani nape bora usingejibu hizi shutma maana ndo umeonesha udhaifu wako wzi. Lakini nape unatakiwa usome alama za nyakati na utambue watanzania sio wajinga kama unavyojidanganya,ulisha sema RA NI GAMBA IWEJE LEO UANZE KUMSIFIA eti kuna mazuri aliyofanya yapi hayo mbona wananchi wa igunga ni maskini wa kutupwa labda wale waburushi na wasomali ndo wameletewa maendeleo. Wananchi wa igunga msiwape kula ccm ili wajifunze kuwa wtz sio wajinga ten<br><br>
 
kweli nape wewe huna uchungu na hii nchi..gamba lingine hili jamani tena kigeugeu na legelelge kama jk
 
Hii mbona ni kawaida kwa aliyetutoka. Utasikia marehemu alikuwa mtu mzuri sana kwa hili na lile. hivyo basi, akiisha tutoka ni budi kuangalia mazuri ili yaendelezwe, hata kama ni kidogo sana. Lakini hii haimaanishi kumsafisha aliyetutoka na au kumwalika arudi tena kuendelea na mambo yale yaliyopelekea kuondoka kwake.

Ukialikwa na ndugu wa marehemu utoe salamu za mwisho kwa adui yako mkubwa, utajitahidi sana utafute uzuri mdogo aliokuwa nao marehemu kwa wana-ndugu, maneno hayo hayabilishi hata kidogo msimamo wako wa msingi kuhusu tabia mbaya ya ndugu yao.
Wasalaam
 
Hii mbona ni kawaida kwa aliyetutoka. Utasikia marehemu alikuwa mtu mzuri sana kwa hili na lile. hivyo basi, akiisha tutoka ni budi kuangalia mazuri ili yaendelezwe, hata kama ni kidogo sana. Lakini hii haimaanishi kumsafisha aliyetutoka na au kumwalika arudi tena kuendelea na mambo yale yaliyopelekea kuondoka kwake. Ukialikwa na ndugu wa marehemu utoe salamu za mwisho kwa adui yako mkubwa, utajitahidi sana utafute uzuri mdogo aliokuwa nao marehemu kwa wana-ndugu, maneno hayo hayabilishi hata kidogo msimamo wako wa msingi kuhusu tabia mbaya ya ndugu yao.
Wasalaam
Kwa maana nyingine Rostam kafariki siasa! Hata baadhi ya makanisa na misikiti imejengwa kwa pesa kama hizi za akina Rostam na watu safi kabisa wanasali na kuswali humo!
 
Back
Top Bottom