Nape Nauye unaongea pumba, maneno yako yananuka damu ya Watanzania wasio na hatia na wazalendo na wacha Mungu ndani na nje ya Tanzania tutawalaani wewe na Mwigulu Mwenyezi Mungu awaadhibu Watanzania wote tukishuhudia hata iwe fundisho kwa wenye tabia za kigaidi kama za kwenu. Vijana mnamzidi hata shetani kwa dhambi, ee Mungu hawa pia ni kazi ya mikono yako lakini wanayotufanyia Watanzania si makusudi yako, wanaokufa na walemavu sidhani kama ni waovu kuliko Nape na Mwigulu.