SIMBA45
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 573
- 165
LOWASA KWELI AMEINUNUA CHADEMA
Yadaiwa makubaliano yake na Mbowe ni kuwa wale wote ambao walishiriki kwa namna moja ama nyingine kumchafua wasishiriki kumnadi na hata kutokuongelea mchakato mzima wa urais
Yeye ndiye aliyemlazimisha Mbowe, Slaa akapumzike kijijini na pia Mbowe aweke masharti magumu ili yaimalize CUF bara ambapo Lipumba alivyoona hivo akaamua kunawa mikono yake kutojihusisha kabisa.
Inasemekana Salum Mwalim naibu katibu mkuu chadema Zanzibar ndiye anayekaimu ukatibu mkuu kwa sababu Lowasa ndiye aliyemuingiza hapo kwenye hiyo nafasi halafu ni mfanyakazi wa Channel 10 mpaka sasa ambapo Lowasa na Rostam wanajitahidi kukitumia ktka shughuli zao.
Mzee Lowasa ameandaa mkakati wa kuhakikisha Lissu, Msigwa, Lema na Mnyika hawarudi bungeni na ni masharti aliyopewa Mbowe akakubali.
Wakati ukishangaa CCM wanalalamikiwa kuminya demokrasia kwa ukawa waliibaka mbaya mno kwani Slaa hata fomu hakujaza ili ashindwe kwa kujadiliwa kuwa hana vigezo au wagombea wa Chadema, CUF, NCCR na NLD wapigiwe kura ili apatikabe mwakilishi badala yake Mbowe akawaruhusu wakutane na wateue jina moja.
Awali wakati wanakutana Dkt. Slaa, Prof. Lipumba, Emanuel Makaidi, na James Mbatia katika vikao vyao walikubaliana Slaa ndiye mgombea wa Ukawa badae mambo yakawa tofauti kabisa.
Mbowe na Maalim Seif nyuma ya pazia washamalizana na Mzee Lowasa kuwa ndiye atakuwa mgombea. Baadae Mbowe akawaambia wenzie wasimtangaze kwanza mgombea wao!
Siasa ni utumishi CCM. Ukawa siasa ni ujasiriamali. Zaidi ya bilioni 10 zadaiwa kuwa chanzo cha hayo yote.
WATANZANIA TUWE MAKINI KUTAFAKARI HAYA, TUSIKUBALI KIRAHISI RAHISI HIVO.
sawa mama unajitaidi kumwaga ushuzi. hizi ndio akili za wanaccm kwa kukalia majungu na siasa maji taka.