Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,270
- 675
Hii ni ishara mbaya kwa chama hakuna msaada wowote mliotusadia
chama kimehujumiwa Arumeru haiwezekani jimbo litoke ccm
lirudi upinzani.
Nape katibu mwenezi umefanya kazi gani?
Lusinde matusi yako yamesadia?
Mkapa sina cha kusema
Mwenyekit wa chama huu ni muda mwafaka wa kuwawajibisha watendaji wako katika chama
chama kimehujumiwa Arumeru haiwezekani jimbo litoke ccm
lirudi upinzani.
Nape katibu mwenezi umefanya kazi gani?
Lusinde matusi yako yamesadia?
Mkapa sina cha kusema
Mwenyekit wa chama huu ni muda mwafaka wa kuwawajibisha watendaji wako katika chama