THE STRONG
Senior Member
- Jan 21, 2012
- 107
- 20
viva cdm hakuna km ww dalili tosha ya ikulu 2015...I love cdm
Hii ni ishara mbaya kwa chama hakuna msaada wowote mliotusadia
chama kimehujumiwa Arumeru haiwezekani jimbo litoke ccm
lirudi upinzani.
Nape katibu mwenezi umefanya kazi gani?
Lusinde matusi yako yamesadia?
Mkapa sina cha kusema
Mwenyekit wa chama huu ni muda mwafaka wa kuwawajibisha watendaji wako katika chama
EL je alimpenda mkwewe zaidi lakini wana-arumeru hawakumpenda, poor Sioi, loosing ur father and election, pole sana, ungejua ungeendelea kuomboleza tu, siasa za majitaka za CCM uachane nazo, zinakuvunjia heshima tu (kama unayo heshima lakini - maana huko kwenye chama lenu sioni mwenye heshima hata mmoja)Hii ni ishara mbaya kwa chama hakuna msaada wowote mliotusadia
chama kimehujumiwa Arumeru haiwezekani jimbo litoke ccm
lirudi upinzani.
Nape katibu mwenezi umefanya kazi gani?
Lusinde matusi yako yamesadia?
Mkapa sina cha kusema
Mwenyekit wa chama huu ni muda mwafaka wa kuwawajibisha watendaji wako katika chama
EL je alimpenda mkwewe zaidi lakini wana-arumeru hawakumpenda, poor Sioi, loosing ur father and election, pole sana, ungejua ungeendelea kuomboleza tu, siasa za majitaka za CCM uachane nazo, zinakuvunjia heshima tu (kama unayo heshima lakini - maana huko kwenye chama lenu sioni mwenye heshima hata mmoja)
Hii ni ishara mbaya kwa chama hakuna msaada wowote mliotusadia
chama kimehujumiwa Arumeru haiwezekani jimbo litoke ccm
lirudi upinzani.
Nape katibu mwenezi umefanya kazi gani?
Lusinde matusi yako yamesadia?
Mkapa sina cha kusema
Mwenyekit wa chama huu ni muda mwafaka wa kuwawajibisha watendaji wako katika chama
Hii ni ishara mbaya kwa chama hakuna msaada wowote mliotusadia
chama kimehujumiwa Arumeru haiwezekani jimbo litoke ccm
lirudi upinzani.
Nape katibu mwenezi umefanya kazi gani?
Lusinde matusi yako yamesadia?
Mkapa sina cha kusema
Mwenyekit wa chama huu ni muda mwafaka wa kuwawajibisha watendaji wako katika chama